LIVE Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa NIGER (Russia + Wagner) na ECOWAS (France + Nato + USA). Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Termux

JF-Expert Member
Oct 7, 2017
406
980
Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa NIGER ( Russia + Wagner ) na ECOWAS ( France + Nato + USA). Nini chanzo na hatma ya mzozo?

Jeshi la Niger kupitia televishen ya taifa limetangaza kupindua serikali ya nchi hiyo. Shughuli site za serikari zimesimamishwa na mipaka ya nchi imefungwa.

======

Wanajeshi wa Niger wadai kumuondoa madarakani Rais Bazoum – DW – 27.07.2023

Grace Kabogo

Kundi la wanajeshi wa Niger limetangaza kumuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum wa nchi hiyo, saa chache baada ya rais huyo kuzuiliwa ikulu na kikosi cha walinzi wa rais kinachoongozwa na Jenerali Omar Tchiani.
66359979_803.jpeg
Kanali Amadou Adramane wakati akizungumza kwenye televisheni ya taifa Picha: ORTN/REUTERS TV

Taarifa iliyosomwa na Kanali Amadou Abdramane kupitia televisheni ya taifa Jumatano usiku, huku pembeni yake wakiwa wameketi wanajeshi wengine tisa, imeeleza kuwa vikosi vya ulinzi na usalama vimeamua kuuondoa utawala uliopo madarakani kutokana na kuzorota kwa hali ya usalama, utawala mbovu na hali mbaya ya kiuchumi na kijamii.

Kwa mujibu wa Kanali Abdramane, mipaka ya nchi imefungwa na amri ya kutotoka nje imetangazwa nchi nzima, na huduma katika taasisi zote za umma zimesitishwa, hadi hapo taarifa nyingine itakapotolewa. Wanajeshi hao pia wameonya kuhusu uingiliaji wowote ule wa kigeni. Hata hivyo, kundi la wanajeshi hao linalojiita Baraza la Kitaifa la Kulinda Nchi, limesema liko tayari kufanya mazungumzo na jumuia ya kitaifa na kimataifa.


Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken ametoa wito wa kuachiwa mara moja kwa Rais Bazoum. Blinken amesema wanalaani matukio yanayoendelea Niger ya kunyakua madaraka kwa kutumia nguvu, ambayo yanaivuruga katiba ya nchi hiyo, pamoja na kudhoofisha utendaji kazi wa serikali iliyochaguliwa kwa njia ya kidemokrasia.

Kauli za Marekani na Umoja wa Mataifa

Jumatano Blinken alizungumza kwa njia ya simu na Bazoum na kumueleza wazi kwamba Marekani inamuunga mkono kwa dhati kama rais aliyechaguliwa kwa njia ya kidemokrasia. Amesema msaada wa Marekani kwa Niger unategemea utawala wa kidemokrasia. Blinken pia amewataka raia wa Marekani kuepuka kwenda kwenye maeneo yaliyoko hatarini nchini Niger.

Naye Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres, ambaye ameonyesha uungaji wake mkono kamili pamoja na mshikamano na Rais Bazoum, alilaani matukio yanayoendelea Niger. Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric, amesema Guterres alizungumza kwa njia ya simu na Bazoum Jumatano jioni. Guterres amelaani vikali juhudi za kunyakua madaraka kwa nguvu na kudhoofisha utawala wa kidemokrasia, amani na utulivu. Amewataka wote wanaohusika kujizuia na kuhakikisha wanaheshimu na kuilinda katiba.

Rais Patrice Talon wa nchi jirani ya Benin, amesema yuko njiani kuelekea Niger kutathmini hali ilivyo, baada ya kukutana Jumatano na Rais wa Nigeria Bola Tinubu, ambaye pia ni mwenyekiti wa Jumuiya ya Uchumi ya nchi za Afrika Magharibi, ECOWAS.

Mazungumzo na pande zote

Talon anatarajiwa kuwasili Niamey Alhamisi, ambapo atazungumza na pande zote mbili katika juhudi za kuutatua mzozo huo.

Umoja wa Afrika na ECOWAS wameliita tukio hilo kama jaribio la mapinduzi, na wamewataka waliopanga njama kumuachia huru Rais Bazoum bila masharti yoyote na warejee kwenye kambi zao. Matukio yanayoendelea Niger yamelaaniwa pia na Umoja wa Ulaya, Ufaransa na Benki ya Dunia ambazo zimesema kuwa zinafuatilia kwa karibu hali hiyo ambayo inaleta wasiwasi mkubwa.

Taarifa iliyotolewa na ofisi ya rais ya Niger usiku wa kuamkia leo, imeeleza kuwa Bazoum na familia yake wako salama, bila ya kutoa maelezo zaidi. Bazoum, mshirika wa karibu wa Ufaransa, alichaguliwa mwaka 2021 kuiongoza nchi hiyo isiyo na utulivu.
 
Yah na elimu finyu tunayopewa na serikari zetu
Hayo yote yanaangukia katika muktadha huo huo wa umasikini. Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuuwawa kwa kupiga risasi na watu wasiojulikana (People with no identity) baada ya kuandika kitabu kilichobeba jina "How Europe Underdeveloped Africa" jamaa alikuwa anaitwa "Walter Rodney" kama sijakosea.
 
Hayo yote yanaangukia katika muktadha huo huo wa umasikini. Kuna mwandishi mmoja aliwahi kuuwawa kwa kupiga risasi na watu wasiojulikana (People with no identity) baada ya kuandika kitabu kilichobeba jina "How Europe Underdevelops Africa" jamaa alikuwa anaitwa "Walter Rodney" kama sijakosea.
Okay wacha nikitafute
 
Boris Rozhin:

Briefly about Niger. 08/07/2023

1. The military leadership of Niger called on the citizens of the country to be ready to repel external aggression. The armed forces and other law enforcement agencies have been put on alert. At the same time, it should be borne in mind that the Niger army, despite the fact that it was trained by France and the United States, is relatively weak, especially against the backdrop of Nigeria.

2. According to the statement, one unnamed country is about to commit military aggression against Niger in the near future. Probably we are talking about the ECOWAS country, behind which France will stand. For example, Senegal. It is worth noting that the full deployment of ECOWAS troops for the invasion of Niger has not yet been completed. The US says it will take time.

3. The military will not succumb to threats and blackmail ready to fight the aggressor, promising him massacre and chaos. It is understood that they will arm civilians and wage a guerrilla war.

4. Yesterday an official demand was issued for France to get out of Niger within 30 days. France had previously refused to leave, to act as a typical colonialist.

5. The airspace over Niger has been closed since the night of August 7th. The official ban is in effect until further notice. However, Niger's aviation and air defense are very weak - it needs the supply of MANPADS and loitering ammunition.

6. The Parliament of Nigeria just now did not support the President of the country with his plans of aggression, calling for negotiations. Nevertheless, the President of Nigeria did not completely abandon the plans of aggression.

7. Algeria has explicitly stated that an intervention in Niger would be a direct threat to its interests. Chad has officially abandoned the invasion. Whether Algeria will support Niger only with the supply of weapons or directly, the Algerian authorities do not specify, while maintaining freedom of maneuver. Algeria has forces to directly support Niger.

8. Mali and Burkina Faso are ready to support Niger by military means. Guinea will limit itself to diplomatic support. Clashes between the Malian military and militants controlled by the West have intensified on the border between Niger and Mali.

9. The US and NATO grouping on the territory of Niger reaches 2.8-3.1 thousand people. The United States verbally evades participation in the intervention, in contrast to the French, who directly continue to threaten the authorities in Niamey with an attack.

10. There is still no direct evidence of the presence of Wagner PMC forces in Niger (yesterday there was a fake video from Sudan on this topic) or the signing of an official contract by the Niger authorities with Prigozhin. As they liked to say during the battle for Artemovsk, "When it happens, then you will be informed."

We continue to monitor events that could set fire to part of the African continent. Strategic uranium reserves are at stake.

@Slavyangrad
Join SLG Intelligence Briefings, Strategy and Analysis, Expert Community
 
Rebels in Niger are convinced that the two Central African states are involved in a troop transfer to intervene in the republic. They believe the attack is being coordinated with ECOWAS and armed terrorists.

In response, Niger's military authorities have deployed additional troops to areas bordering Nigeria and Benin.

It seems that ECOWAS will confine itself to a Francophone contingent (excluding Nigeria) and opt for the shortest route for military intervention - crossing the border with Benin.

Wamaps reports that several hundred Nigerien Army soldiers have been deployed to the border with Benin. Additionally, 1 Mi-35 helicopter, 2 Aerospatiale Gazelle helicopters, and 3 Bayraktar TB2s have been put on alert in Niamey.

-As of right now, the Nigerian senate has vetoed the use of military force, so unless the western world wants to show us how a legitimate military takeover of power looks like, from democratically elected leaders, I think one of the largest armies might be sitting out. They could still offer deployment on their territory and so on.

@Slavyangrad
Join SLG Intelligence Briefings, Strategy and Analysis, Expert Community
IMG_20230807_201941_566.jpg
 
West African countries (ECOWAS) cannot agree on an invasion of Niger, writes foreign agent DW.

The ultimatum issued to the military of Niger by the states of the Economic Community of West Africa (ECOWAS) expires today. These countries demanded that no later than Sunday, August 6, the military "restore constitutional order and return to power President Mohamed Bazum, who was overthrown by them."

However, Algeria was categorically opposed to the intervention.

Algeria is not a member of ECOWAS, but the country's president stressed that without Algeria "there will be no solution," since Algeria shares a one thousand-kilometer border with Niger and will be the main victim in the event of a military operation.

"Algeria will not use force against a neighboring state," said President Tebbun.

The president of neighboring Nigeria advocated for the invasion, but he was unable to get permission from his Senate, who recommended that he first "consider other options."

Mali and Burkina Faso, whose membership in ECOWAS was suspended due to the putschists coming to power there, warned that they would perceive the invasion of Niger as an attack on themselves.

This cooled Senegal and Côte d'Ivoire a little, who expressed their readiness to send their soldiers to Niger.

#source

@Slavyangrad
Join SLG Intelligence Briefings, Strategy and Analysis, Expert Community
 
Back
Top Bottom