Wageni wengine bwana du!

Sio kutawaliwa mi nilitaka wewe free kuenjoy bila kuchupa mipaka
Haya maisha ku-enjoy ni kuwa na kazi unayoifanya kwa bidii na inakuingizia kipato kizuri cha kukuwezesha kufanya mambo yako mengine mengi. Kuangalia Tv siku nzima ndio inawafundisha kuwa wachapa kazi au inawadumaza?
Ushauri: Watafutie kazi hapo kwako za kutosha, waambie kwa masaa 6 utawapa hata kahela fulani. Wapangie ratiba. Kazi masaa x, Tv masaa X nk. Na tv waangalie program ya maana sio kuwaangalia wasanii tu wanatingisha vikoki vyao siku nzima. Na kama hakuna kazi basi WAONDOKE. Wakakae na ndg mwenye kazi au kwa wazazi wao.
 
Wageni wako ni watoto kwanza, pili wamepata malezi ya hovyo. Simamia wanao wasiangukie huko, maana hata hamjaoana, sijui hiyo ni desturi ya wapi?
 
Siwezi vumilia ujinga Mimi jamn ningeshafukuza unatesekaje kwenye nyumba yako
 
Tafuta shamba uanze kwenda kulima nao siku mbili alaf ya 3 unawaachiza waendelee kukomaa nalo kila siku wataondoka wenyewe hapo nyumbani,,, ila ukiendelea kuwanunulia kifurush cha sinema zetu utateseka. Wataalikana ukoo
 
Mi tatizo naliona kwako na mkeo sio hao wageni.
Na ikiwa wana majibu ya namna hiyo na dada yao(mkeo) hana muda wa kuwakanya/kukemea jambo hilo basi ulipoenda kuoa heshima na ustaarabu ni msamiati mgumu sana.
Ongea na mkeo na usimamie unachokiongea kama MWANAUME. Hao wakiondoka watawaalika wengine mwishowe wanao utawalaza na magunia ya mahindi maana hata hiyo sebule watakuja wengine.
 
Unataka ushauri wa nini wakati umecopy na kupaste?
 
Mimi hiyo Copy & paste ndio imenimaliza kabisa πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
usiwachekee mwambie mke wako wanatakiwa wawe watii, au waondoke mara moja.

mimi dogo alianza kumchukulia poa shemeji yake, nikawambia dogo huyo siyo mke wako ni mke wangu mimi tu.
 
Sio copy n paste. Huyu yamemtokea mwenyewe. Ameoa kutoka familia duni isiyokua na malezi Bora. Yeye kaangalia sura na makalio. Acha ale mavi.
πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹ Dah kama anakula mavi atakua anafaidi sana aisee.
Mambo yetu yaleee. πŸ˜‹πŸ˜‹
 
Ehee...tuelezee...... Funguka mama akeee tupate Cha kujifunza
 
Hao ningewaonyesha segere moja flani kwa vitendo tu bila maneno wangekimbia wenyewe.

NB:
Mke wako atakuwa anakudharua sana ndiyo maana wadogo zake wanakuchukulia poa.
Au labda anamsema kwa wadogo zake ndo maana wanafanya hivyo bila hofu ya shemeji yupo karibu
 
Ikawaje baada ya mama kupokea hizo habari???
 
Kosa namba moja ni kuhamishia wanao sebuleni ili tu kina shem walale chumbani, inakera mno hii kitu,

Kuumia ili kuwafurahisha wengine niliacha maana hupati thawabu yoyote sababu ni unafiki na Mungu hajihangaishi na mnafiki

Familia ulikooa nidhamu yao iko chini sana, cha kufanya kwa vile ni viburi tafuta shamba wapeleke huko washinde huko mpaka jioni hakikisha wanarudi hoi, kwa muda wa wiki 1 halafu wape nauli wao na dada yao waende kwao kupumzika, ni dharau moja konki na watajifunza

Usijilegeze mbele ya mkeo Sasa vaa uso wa mbuzi ukilegea utajuta ukoo wote utahamia hapo
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…