Waganga wa jadi na nguvu za kiume

Unajua kitu kizuri chochote lazima kiwe na madhara ndani yake.
Kwa hiyo kama zinaongeza lazima zitakuwa zinamadhara maana unaongeza misuli kusimama baadae kadri siku zinavyo enda zitanywea.
 
Za leo wandugu wenzangu. Naomba ushirikiano kwenye hili swala and especially kwa mtu mwenye uhakika zaidi. Je dawa za nguvu za kiume za kienyeji au miti shamba (not from maabara eg viagra) zinamadhara yoyote kwa mtumiaji endapo atakapoanza kuzitumia!

Ndugu yangu, hakuna dawa hutakayo tumia ambayo haina madhara japo kidogo. Madhara hupatikana tu pale unapozidisha vipimo na kusahau ushauri wa mtaalam husika.

Wataalam wanasema matumizi ya madawa ya miti shamba (HERB) Huweza kuleta madhara makubwa sana kuliko matumizi ya madawa ya Hospital, kama hutaweza kufata ushauri vizuri.

FYI: Wagonjwa wa Akili waliotokana na uvutaji wa bangi, wameonekana ni agharabu sana kupona, kulinganisha na wavutaji unga (Heroine na ndugu zake wa mahabara).

Tafuta mtu akufahamishe matumizi ya asali na jinsi inavyoweza kusaidia kuongeza nguvu za kiume.

__________________________________________________________________
Ancient civilization have been using honey for years in medicine to strengthen the semen of men. If impotent men regularly take two tablespoon of honey before sleeping, their problem will be solved. In China, Japan and Far-East countries, women who do not conceive and to strengthen the uterus have been taking cinnamon powder for centuries.
__________________________________________________________________

Matumizi zaidi ya asali na faida zake click here Matumizi ya Asali Na Faida Yake

Hunaweza pia kufunguwa website hizi za kitabibu kwa Ushahuri na maalifa zaidi.

Hapa waweza kupata majibu na matibabu ya tatizo lako ("Disclaimer" Contain one NUDE Picture): Click here Solve Erection Problems Now


Other websites:

Male Urogyy


NB:
Most men have experienced difficulties with erection at some time in their lives. Alcohol, tiredness, stress or simply not being in the right mood at the right time may all lead to failure to achieve or maintain an erection. The most frequent cause of temporary problems is anxiety...
Read more What causes erection problem

Thanx

X-Paster
 
Za leo wandugu wenzangu. Naomba ushirikiano kwenye hili swala and especially kwa mtu mwenye uhakika zaidi. Je dawa za nguvu za kiume za kienyeji au miti shamba (not from maabara eg viagra) zinamadhara yoyote kwa mtumiaji endapo atakapoanza kuzitumia!

We Lorain unataka kummezesha jamaa Viagra ya kienyeji ili mkeshe? :) Viagra ilipotoka rasmi na kugunduliwa kwamba ina side effects ambazo zinaweza kumfanya mtumiaji awe kipofu au hata kupoteza maisha. CNN wakasikia kwamba Zimbabwe wana dawa yao ya kienyeji ambayo Wazimbabwe wanadai haina side effects zozote na inaitwa Vukavuka.

CNN walimtuma mtu mpaka Zimbabwe nadhani ilikuwa miezi michache baada ya kutoka Viagra, ili akathibitishe ukweli wa habari hiyo. Kama unavyowajua wazungu walitaka wanawake ambao wanajua waume zao wamewahi kutumia Vukavuka waliongelee hilo huku kauli zao zikirekodiwa, wote walikataa lakini pembeni wanawake hao walidai kwamba ukisikia njemba imeagiza hiyo dawa basi ujue siku hiyo ni kukesha tu.
 
Nafikiri hili tatizo ni la kisaikolojia, au linatokana na physical trauma, at some point in time au ni inborn error in genetical formation au ni combination ya yote.

Madawa ni anti-natural means to get rid of the problem and very temporary.

Wataalamu hapa watueleze zaidi kuhusu aphrodysiacs etc. and their side effects.
 
...CNN walimtuma mtu mpaka Zimbabwe nadhani ilikuwa miezi michache baada ya kutoka Viagra, ili akathibitishe ukweli wa habari hiyo. Kama unavyowajua wazungu walitaka wanawake ambao wanajua waume zao wamewahi kutumia Vukavuka waliongelee hilo huku kauli zao zikirekodiwa, wote walikataa lakini pembeni wanawake hao walidai kwamba ukisikia njemba imeagiza hiyo dawa basi ujue siku hiyo ni kukesha tu.

Nasikia wale jamaa zetu wa Muweza Tanga wana Dawa yao inaitwa MKUYATI Mgosi Wa Gono Kama sikosei. Nayo hii vipi, kuna mwenye taharifa nao?
 
Sahihi ni taarifa.

Mama sasa itabidi hapa pia tupitie kwa pamoja kila thread na post na kurekebisha kiswahili. Labda kwa kuanzia hapa. Kwani kuna msemo wa kiingereza usemao "charity begins at home" Unajua mama mtu akiandika kiswahili kikawa kimekosewa na ikawa inarudia rudia hata kiingereza atakuwa hajui vyema na hata lugha ya mama yake itakuwa inampa shida kwani ni mtumwa wa lugha.

Ni vicious cycle kind of thing. Mtu hajui lugha ya mama vizuri, na hivyo kiswahili kinampa shida kwa kuwa language skills inakosekana kutoka kuzaliwa na malezi, na finally kiswahili pia kinakuwa taabu na kiingereza pia. Sijui kama umeshawahi kutafiti hilo.
 
Nafikiri hili tatizo ni la kisaikolojia, au linatokana na physical trauma, at some point in time au ni inborn error in genetical formation au ni combination ya yote.

Madawa ni anti-natural means to get rid of the problem and very temporary.

Wataalamu hapa watueleze zaidi kuhusu aphrodysiacs etc. and their side effects.

Samahani kwa kutoka nje ya mjadala. Mshihiri bora umebadilisha avatar yako maana ilikuwa inaniudhi kweli, nilikuwa naingalia lakini sikuweza kuielewa:)
 
Mama sasa itabidi hapa pia tupitie kwa pamoja kila thread na post na kurekebisha kiswahili. Labda kwa kuanzia hapa. Kwani kuna msemo wa kiingereza usemao "charity begins at home" Unajua mama mtu akiandika kiswahili kikawa kimekosewa na ikawa inarudia rudia hata kiingereza atakuwa hajui vyema na hata lugha ya mama yake itakuwa inampa shida kwani ni mtumwa wa lugha. Ni vicious cycle kind of thing. Mtu hajui lugha ya mama vizuri, na hivyo kiswahili kinampa shida kwa kuwa language skills inakosekana kutoka kuzaliwa na malezi, na finally kiswahili pia kinakuwa taabu na kiingereza pia. Sijui kama umeshawahi kutafiti hilo.

Nasikia wataalam wa lugha wanatuambia kuwa uchanganyaji wa lugha zaidi ya moja kwenye mazungumzo au uandishi ni tatizo pia, hii imekaaje waungwana.
 
Nasikia wataalam wa lugha wanatuambia kuwa uchanganyaji wa lugha zaidi ya moja kwenye mazungumzo au uandishi ni tatizo pia, hii imekaaje waungwana.

Mnaokwenda out of topic mna boa. The rest big up for the good contributions. Asanteni.
 
Madawa-yoyote ya kuongeza nguvu yana madhara kama ilivyo kwa madawa yote ya usingizi.iwe ni madawa ya kutunisha misuli kama wanaamieleka, iwe ni madawa ya kuongeza nguvu kwa wanamichezo, au iwe ni vinywaji vya power boost kama Redbull na na energizer.

Tatizo kubwa la kwanza ni addiction. Mzee akishatumia dawa ndipo aingie uwanjani, basi itafikia mahali bila dawa no match. Atakwenda anaongeza dose mpaka anafika kiwango - cha ukomo, hapo ndio mwisho wa mchezo hata atumie vipi haikubali tena. Ataanza kubadili madawa na ataishia kusaidiwa.

Wasukuma wa zamani walitumia bangi. Mimi niliijaribu hiyo bangi japo ni kweli kulikuwa na hakuna kulala lakini na cha moto nilikipata. Tulianza kwa raha tukaishia karaha
.
Dawa za Kimasai za Mkashari na Mkuyati zinaaminika sana kwa Kwa vile wao ni makabila ya wafugaji, walishinda na mifuugo muda wote, siku wakipata kajinafasi walitumia ili angalau warudishe hisia za wake zao ambao wametahiriwa kuzuia ashk na kustahilmiili muda wote mzee yuko na mifugo.
 
Za leo wandugu wenzangu. Naomba ushirikiano kwenye hili swala and especially kwa mtu mwenye uhakika zaidi. Je dawa za nguvu za kiume za kienyeji au miti shamba (not from maabara eg viagra) zinamadhara yoyote kwa mtumiaji endapo atakapoanza kuzitumia!

Dawa nyingi za miti shamba ni nzuri tu. Hata hivyo suala la madhara kwa matumizi ya dawa yoyote haziepukiki. Tatizo ni kiwango gani cha madhara kinachotokana na matumizi ya miti shamba. Shida kubwa ni kwamba dawa za miti shamba zinatumiwa kwa kubahatisha. Hakuna uhakika wa kiasi gani cha dawa anachotakiwa kutumia mgonjwa. Mfano, utakuta mgonjwa anaambiwa achanganye dawa na maji na anywe glasi 2-3 kwa siku! Hapo huwezi kuniambia huyo mgonjwa amekunywa gramu au miligramu ngapi za dawa kwa siku.

Lakini pia hiyo miti shamba haina kemikali nyingine ambazo zinaweza kufanya kazi isiyokusudiwa? Haya na mengine mengi ni mambo ambayo wataalamu wetu wa mitishamba hawawezi kujibu! Na ndio maana idara za madawa ya kienyeji (Traditional medicine departments) katika vyuo vyetu zina kazi kubwa ya kufanya! Kama hakuna ulazima, nakushauri umweleze mzee aziogope dawa hizi kama ukoma. Dawa ya maana na isiyokuwa na madhara kwa nguvu za kuchapa mzigo ni wewe mwenyewe!

Ukijua jinsi ya kucheza karata zako na kuweka kipaumbele kwenye lishe, hutafikiria hata siku moja, habari ya hizi dawa za kimasai au supu ya pweza!! Kama huamini muulize Dr Isaack Ndodi!!!
 
Za leo wandugu wenzangu. Naomba ushirikiano kwenye hili swala and especially kwa mtu mwenye uhakika zaidi. Je dawa za nguvu za kiume za kienyeji au miti shamba (not from maabara eg viagra) zinamadhara yoyote kwa mtumiaji endapo atakapoanza kuzitumia!


Mhhhh mkuuu ulichokuwa nacho shukuru mungu.......Maana unataka kuongeza vityu vingine mwilini mwako vitakuja kukuaffect baadae na utajuta ushauri wangu ni huo tu
 
Dawa za nguvu ya kiume za Kienyeji kama Utapata Mtaalam wa kukutibu hayo Matatizo yako ya nguvu za Kiume mimi nakushauri Uende kwa huyo Mtaalam wa Dawa hiyo za nguvu za Kiume usitumie Dawa Za kizungu Zina Madhara kuliko Dawa Za Kienyeji la kama hutapata Mtaalamu wa kukutibu Hayo Matatizo yako Jaribu kuwasiliana na mimi email yangu ni hii fewgoodman@hotmail.com
 
Nakuja kwenu wanajanvi..
Naomba kuuliza mbona siku hizi kuna matangazo mengi ya dawa za kuongezea nguvu za kiume..
Kunani tena??.
 
Shauri wagonjwa ni wengi, labda tuulize ugonjwa unasababishwa na nini
 
Back
Top Bottom