Wafugaji wa mbwa kibiashara au ulinzi tukutane hapa

Kwa ambae yupo interested anichek.. Utawaona wazazi uamue mwenyewe... Kama kitu chenyewe au sio
Tatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
 
Naomba kuuliza jamani hv na hawa waliopo ktk Geshi retu hiri ra Porisi nao ni Crossbreed au ni Pure???
 
Kuna mdau kapost hao Boerboel post # 344,hao mbwa kama ndama vile. Sasa mbwa wa kilo 90 sijui utamudu kumlisha ? Maana kwa ukubwa huo chakula kinaweza kuwa issue. On plus side mbwa wa size ile hata kama io mkali akikuangalia tu lazima ulale mbele.
Nimesoma hiyo breed ya Boerboel ni mbwa hatari sana na si vizuri kuwafuga kama huna uzoefu na mbwa.Naona kuna nchi nyingi sana zimewapiga marufuku.
 
baadhi ya mbwa sio rafiki kwa familia, wanafaa kwa ulinzi viwandani, magodaun, mashamba nk.
swali; unahitaji mbwa wa ulinzi na familia au wa ulinzi pekee?
jibu analo muhitaji
Kuna mdau kapost hao Boerboel post # 344,hao mbwa kama ndama vile. Sasa mbwa wa kilo 90 sijui utamudu kumlisha ? Maana kwa ukubwa huo chakula kinaweza kuwa issue. On plus side mbwa wa size ile hata kama io mkali akikuangalia tu lazima ulale mbele.
Nimesoma hiyo breed ya Boerboel ni mbwa hatari sana na si vizuri kuwafuga kama huna uzoefu na mbwa.Naona kuna nchi nyingi sana zimewapiga marufuku.
 
Mkuu kwa ninavyofahamu jeshi letu lina pure breed za German sherpherd na Belgian malinois.
mkuu nusu ni sawa na nusu sio sawa.
baadhi ya mikoa majeshi yetu yana cross breed ya gs
 
Tatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
Mkuu siunakuwa flexible hizi unazotuma hapa unachana Nazo huzitumii tena kwa mteja serious unamtumia nyingine tofauti...ni ushauri tu kama utafaa...kwa maoni yangu kufanya hivyo utajiwekea uaminifu zaidi hapa
 
Mkuu siunakuwa flexible hizi unazotuma hapa unachana Nazo huzitumii tena kwa mteja serious unamtumia nyingine tofauti...ni ushauri tu kama utafaa...kwa maoni yangu kufanya hivyo utajiwekea uaminifu zaidi hapa
Ni cross hao lakini unaweza kujionea mwenyewe walivyo good quality..
Bei ni nafuu hasa kwa mtanzania wa kawaida.
20180821_132659.jpeg
20180821_132655.jpeg
 
  • Thanks
Reactions: etb
Ni kweli tupu kuwa GS kachakachuliwa sana. Watu wengi wanaofuga GS hawana elimu hata kidogo kuhusu swala zima la uzalishaji GS.

GS anapandwa na jibwa dume lolote tu unategemea nini??

Kwa upande wangu nimeamua kuachana kabisa na GS nimeamua kufunga Belgian Malinois (BM).

Tofauti kubwa kati ya GS na BM ni umbo la mwili tu na miguu ya nyuma.

BM wana mwili mdogo na miguu ya nyuma iko sawa na ya mbele, kwa hiyo wako na umbo la square.

Sifa ya BM:
-Highly intelligent
-More active kuliko GS
-More energetic than GS
-More agile than GS
-Wavumilivu wa magonjwa
-Low cost maintainance
-Hawachoki kwenye mituringa
-Wako sharp mno
-Walinzi wazuri mno.
-Siyo wazuri ukiwa na watoto wadogo, hapa ndo mahali pekee anapo shine GS. GS yuko friendly sana na watoto.
-BM wanatumiwa na wajeshi zaidi sababu ni wepesi kubebeka na wanajeshi wakiwa wanaruka na parachuti zao. GS mzito mno ndo maana anatumiwa na polisi zaidi.

Swala zima la ulinzi linahitaji mbwa wa kukuamusha zaidi kuliko kung’ata. Mbwa anayebweka akiona adui hana tofauti na Security alarm.

GS yupo dunia zaidi ya miaka 1000 iliyopita, ndo maana kachakachuliwe ile mbaya hasa na hawa waswahili wasiozingatia qualities za ku breed mbwa.

Nina mengi ya kusema ila niishie hapa kwa mwezi huu.

GS nawahurumia sana, siyo pure GS tena ila ni GSKOKO.

Wenye pure GS ni wachache mno sehemu kubwa ni kudanganyana tu.
Mengi umeeleza sawa isipokuwa GS ni kati ya breed mpya imeanzishwa mwishoni mwa 1800's hawana hata miaka 200 sasa wewe hiyo 1000 umeitoa wapi?

Kingine watu wengi hawaelewi kuwa kuna GSD show line na GSD working line, kama uta concentrate on looks, you will end up buying a show line GS kwa ajili ya ulinzi.

nimewahi kusema kwenye huu uzi kuhusu the first GSD pamoja na mambo mengine hakuwa na miguu ya nyuma mifupi kiivo, he had almost a flat back, na hiyo ndio sifa ya working line GSD until now.

Breeders wa show line GSD have through years made show line GSD look like they are today.
 
Mengi umeeleza sawa isipokuwa GS ni kati ya breed mpya imeanzishwa mwishoni mwa 1800's hawana hata miaka 200 sasa wewe hiyo 1000 umeitoa wapi?

Kingine watu wengi hawaelewi kuwa kuna GSD show line na GSD working line, kama uta concentrate on looks, you will end up buying a show line GS kwa ajili ya ulinzi.

nimewahi kusema kwenye huu uzi kuhusu the first GSD pamoja na mambo mengine hakuwa na miguu ya nyuma mifupi kiivo, he had almost a flat back, na hiyo ndio sifa ya working line GSD until now.

Breeders wa show line GSD have through years made show line GSD look like they are today.

Ukweli unabakia pale pale kuwa GS yupo duniani miaka mingi na amechakachuliwa kishenzi.
 
Ukweli unabakia pale pale kuwa GS yupo duniani miaka mingi na amechakachuliwa kishenzi.
BM breed ilikuwa created Mwaka 1892 around the same the same time GS breed ilikuwa created so hoja ya muda haina mashiko.

Mimi nadhani kuna sababu nyingine iliyosababisha uchakachuliwaji wa GS na moja wapo ni popularity iliyosababisha Waenee maeneo kibao na kuwa na variations nyingi, mfano kuna west Germany GS, East European GS, American GS
 
Back
Top Bottom