Codefucious
Member
- Aug 19, 2017
- 30
- 44
Tatizo ukipost picha wapo watu wanachukuaga picha na kufanyia matangazo wao.. Mwisho wa siku unakuta mteja ambaye yupo serious anaziona picha kila sehem anajua na mmi tapeli..
kama hutojali tuwekee picha hapa mkuu