Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #61
Mkuu mbona hii picha inaonesha ilipigwa mwaka 2009 tarehe 14 mwezi wa kwanza. Hebu tuambie ukweli kuhusu hizi picha zako maana wengi tunafuatilia kwa karibu.
Huyu bwana mkubwa aliyalea kama mayai sasa yamekomaa yanaanza kuenguliwa anashtuka, sijui hata anashtuka nini wakati hata kauli yake ya juzi kati baada ya kuchomwa moto makanisa kule mbagala ilinishtua sana, kwamba walikuwa na haki ya kukasirika.haya mambo tubishane humu kwenye keyboard lakini yakizidi kuchacha hakuna atakaekuwa salama,mkumbuke tuna wadogo zetu,wazee wetu,wagonjwa na walemavu je watakuwa na uwezo na mbio tulizonazo sisi wazima?yote kwa yote ikitakiwa kutokea basi itatokea tu ila asije mtu akafikiri haya mambo hayatamgusa kwa namna moja ama nyingine.nchi haipo salama hii ina maana kikwete anazidiwa ujasiri hata na mwinyi?
mkuu kuko na tatizo katika akili za raisi wetu hayuko sawa sawa kabisa naungana na wote wasemao hakujua anakwenda kufanya nini ikulu na alikuwa anajaribu tu na sasa nchi inamuelemea,na bahati mbaya hata wakuu wa majeshi aliowachagua nao ni lelemama warembua macho.mungu usiinusuru tanzania maana tunaiharibu kwa upumbavu wetu.Huyu bwana mkubwa aliyalea kama mayai sasa yamekomaa yanaanza kuenguliwa anashtuka, sijui hata anashtuka nini wakati hata kauli yake ya juzi kati baada ya kuchomwa moto makanisa kule mbagala ilinishtua sana, kwamba walikuwa na haki ya kukasirika.
Anafundisha wengine kwamba ni haki kukasirika na kufanyakile hasira inachokwambia. Namkumbuka sana Rais wangu mstaafu Benjamin W. Mkapa na kamanda Mahita hawakuachia upuuzi kama huu utokee.
Baba wa Taifa mwl. Nyerere aliwahi kumkataa huyu muuza sura lakini watanzania tutavuna tulichokipanda kwa kumpa uongozi mtu aliyekataliwa na muasisi wa Taifa hili tukadhani tuna upeo mkubwa sana kuliko muasisi wa Taifa hili.mkuu kuko na tatizo katika akili za raisi wetu hayuko sawa sawa kabisa naungana na wote wasemao hakujua anakwenda kufanya nini ikulu na alikuwa anajaribu tu na sasa nchi inamuelemea,na bahati mbaya hata wakuu wa majeshi aliowachagua nao ni lelemama warembua macho.mungu usiinusuru tanzania maana tunaiharibu kwa upumbavu wetu.
kafiri mwenyewe.........................Tutole udini GEBWE Mkubwa wewe Nyerere na MAKWAPA Ndio waliopanda hizi mbegu za Uduni ikifika kwa waislam mnawahurumia Polisi kama sio nyie mliokuwa mnawatukana nakuwalaani kwa kumtoa roho Mawangosi, Haya mambo mnayataka wapeni watu UHURU Wao wamechoshwa na MFUMOKAFIRI Mpaka muambiweje mtaelewa nyie kafa mwangosi polisi wabaya kafa askari waislam wabaya polisi wazuri kwa kuwa mwagosi alikuwa mtumishi wa M4C MOVEMENNT FOR CHURCH LAANATULAAH CHADEMA NA MAKAFIRI WOTE
Mkuu grafani11 nimekopi mimi kwenye Facebook zipo mpya na zipo za zamani Mkuu yote hayo matukio ya Zanzibar kumechafuka huko mkuu.Mkuu mbona hii picha inaonesha ilipigwa mwaka 2009 tarehe 14 mwezi wa kwanza. Hebu tuambie ukweli kuhusu hizi picha zako maana wengi tunafuatilia kwa karibu.