Echolima
JF-Expert Member
- Oct 28, 2007
- 3,826
- 2,057
Wewe MZIZIMKAVU tuambie kwanza kuhusu picha ya unayedai ni askari FFU wakati anaonekana wazi ana RASTA au siku hizi FFU wanasuka RASTA??????
Hatujatangaziwa kuwa kuna askari wa FFU kajeruhiwa tunayejua ni CPL SAID ambaye alifariki,sasa unatakiwa uwe mkweli maana habari hizi wengi wanazifatilia ili kupata ukweli.,
Hatujatangaziwa kuwa kuna askari wa FFU kajeruhiwa tunayejua ni CPL SAID ambaye alifariki,sasa unatakiwa uwe mkweli maana habari hizi wengi wanazifatilia ili kupata ukweli.,