Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
- Thread starter
- #41
Dhaifu nchi imemshinda...ingekuwa mkapa au NYERERE hapa ungeona N NEW MOVIE,,,,,,,,,,,,
mkuu asigwa Kiongozi Sio Dhaifu kiongozi ni mpole ndio maana Watu wanamchezea ingelikuwa enzi ya Marehemu Karume watu wasingeweza kufanya hivi wanavyofanya sasa......................................Dhaifu nchi imemshinda...ingekuwa mkapa au NYERERE hapa ungeona N NEW MOVIE,,,,,,,,,,,,
ASKARI POLICE KITENGO CHA FFU AMBAE ALIPIGWA MAPANGA NA WANAOSADIKIA VIJANA WENYE HASIRA KUTOKANA NA KUTOWEKA KIONGOZI MKUU WA UAMSHO AMIR FARID ZANZIBAR....HII SASA NI HATARI NDUGU ZANGU SIO SUALA JEPESI VIONGOZI MUANGALIE HILI NCHI TUNAITIA KWENYE BALAA.
mkuu asigwa Kiongozi Sio Dhaifu kiongozi ni mpole ndio maana Watu wanamchezea ingelikuwa enzi ya Marehemu Karume watu wasingeweza kufanya hivi wanavyofanya sasa......................................
bibie King'asti Samahani mimi nimekopi hiyo Picha kwenye Facebook pamoja na maelezo yake sijajuwa kuwa ndio hivyo nisamehe. Na muwekaji wa Picha huyu hapa bonyeza hapa https://www.facebook.com/Mr.NuramoJamani wewe uwe unaweka warning basi! Hii picha kama sikosei sio ya zbar, imetembea sana mtandaoni kuwa ni ya mwanamke aliekuwa abused na mumewe. Plz recheck your source.