Wafanyakazi Zaidi ya 100 kufukuzwa kazi BOT

Snitchertz

Member
Dec 15, 2014
26
13
Kuna tetesi za kiitelejensia zimedakwa sehemu,kuwa kwenye hii taasisi nyeti kuna uwekano wa kufukuzwa watu zaidi ya 100.Inasemekana watu hao walitenda kosa moja linalofanana la miaka mingi zaidi ya 5 iliopita.

Kulikuwa na master minder ndo aliyekuwa akicheza dili hilo.inasemakana hadi wenye vyeo vya juu wamo kwenye sakata hili. Tutakuja na List pale chanzo chetu kitakapokamilisha ushahidi.

Na cha kushangaza zaidi ina maana miaka yote hiyo uongozi ulikuwa wapi kutambua hili mpaka lime affect watu wengi. Ina maana system nzima imeoza.....

Wana Jamvi mwenye details zaidi hebu tusasambue....
 
Kuna tetesi za kiitelejensia zimedakwa sehemu,kuwa kwenye hii taasisi nyeti kuna uwekano wa kufukuzwa watu zaidi ya 100.Inasemekana watu hao walitenda kosa moja linalofanana la miaka mingi zaidi ya 5 iliopita.

Kulikuwa na master minder ndo aliyekuwa akicheza dili hilo.inasemakana hadi wenye vyeo vya juu wamo kwenye sakata hili. Tutakuja na List pale chanzo chetu kitakapokamilisha ushahidi.

Na cha kushangaza zaidi ina maana miaka yote hiyo uongozi ulikuwa wapi kutambua hili mpaka lime affect watu wengi. Ina maana system nzima imeoza.....

Wana Jamvi mwenye details zaidi hebu tusasambu
e....

Sasa si m,ngekamilisha huo ushahidi unaojinasibu uko nao kisha urejee hapa kuliko kujifanya fanya una info kisha unatuuliza tena info..we vp? unafikiri kutumia kona ipi ya mwili yako?
 
Wameafanya kosa gani? ni kama umeisikia hii habari kwenye korido na ukakurupuka kuibandika bila kuifanyia kwanza utafiti!
 
jf katika ubora wake! ule msemo wa time will tell unazidi kushika hatamu, sio ajabu Jk alipewa hii repoti akakenua meno Kama kawaida yake
 
Inasemekana kuna bot inawafanya kazi kama 1100 ila wengi katika hao hawana kazi za kufanya licha ya kulipwastaiki zote kwaiyo ndurukapewa siku hawatoe
 
Bora wafukuzwe tu wanalindana sana kuna mama mmoja mtaani anafanya kazi bot yaani ni mlevii huyo wa konyagi akilewa anapiga makelele hovyo adi asubui anaenda kazini kavaa suti ananuka KONYAGI najiulizaga inamaana bosi wake hata siku moja ajawai kumuona na harufu ya kileo kazini miaka yote hiyo? Mmm napata ukakasi kidogo
 
Wewe unaonekana ni Mmbeya (Mueneza taarifa zisizo za uhakika kwa haraka). Siku nyingine ukipata habari tulia, ichunguze na halafu ndiyo uone kama inasitahili kuenezwa kwa wadau wengine au la!
 
Back
Top Bottom