Fabolous
JF-Expert Member
- Sep 23, 2010
- 2,509
- 2,695
Wafanyakazi wote Wizara ya Mambo ya Ndani makao makuu majira ya saa 5.45 leo hii wamepewa pesa taslimu shillingi 30,000 kila mfanyakazi kuanzia mkubwa mpaka mlinzi ili wampigie kura Kikwete siku ya jumapili.
Baadhi ya wafanyakazi walikua wanawapigia simu wenzao walio likizo waje kuchukua mgao huo. Baadhi niliwasikia wanasema wao kura yao ni kwa Dr Slaa kwa sababu Kikwete alisema hataki kura zao.
Mtu mwenye mashaka na hii habari hii amuulize mfanyakazi yeyote pale Home Affairs leo saa 5:45 wamepewa hela za nini atakujibu.
Haijawahi kutokea katika chaguzi zote zilizopita wafanyakazi kupewa hela za uchaguzi. Hii inaonyesha jinsi gani Jk alivyozidiwa.
Pia wafanyakazi hao wameambiwa wawe standby muda wowote watahitajika. Naomba kuwasilisha wadau!
Baadhi ya wafanyakazi walikua wanawapigia simu wenzao walio likizo waje kuchukua mgao huo. Baadhi niliwasikia wanasema wao kura yao ni kwa Dr Slaa kwa sababu Kikwete alisema hataki kura zao.
Mtu mwenye mashaka na hii habari hii amuulize mfanyakazi yeyote pale Home Affairs leo saa 5:45 wamepewa hela za nini atakujibu.
Haijawahi kutokea katika chaguzi zote zilizopita wafanyakazi kupewa hela za uchaguzi. Hii inaonyesha jinsi gani Jk alivyozidiwa.
Pia wafanyakazi hao wameambiwa wawe standby muda wowote watahitajika. Naomba kuwasilisha wadau!