Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania watoa siku 30 kwa Uongozi la sivyo watatangaza mgogoro

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,309
5,464
Baraza Kuu Maalum la Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania, limetoa siku 30 kwa uongozi wa shirika hilo kuweka mkataba wa hali bora kwa Wafanyakazi ambao rasimu yake ilishakuwa tayari tangu Februari 2023, tofauti na hapo watatangaza mgogoro na Mwajiri wao (TRC).

Baraza hilo limetoa azimio hilo katika kikao cha dharura kilichofanyika mkoani Morogoro kutokana na kuwepo kwa changamoto kwa Wanachama wake wakiwa kazini.

Katibu Mkuu wa TRAWU Taifa, Raphael Kazyoba amesema “Rasimu inatakiwa ifanyiwe kazi haraka, wasipofanyia kazi tutatangaza mgogoro kwa maslahi mapana ya Wafanyakazi na Shirika la Reli kwa ujumla wake.”

Naye, Jacob Shindika ambaye ni Mwenyekiti wa TRAWU Taifa amesema “Kuna daraja ambalo Mtumishi wa TRC anaweza kufanyakazi kwa miaka 40 akaja kulipwa Tsh Milioni Moja anapostaafu lakini tunapokuwa na mkataba wa Hali Bora mambo kama hayo yanafafanuliwa na inawasaidia Wafanyakazi.

Chanzo: Azam TV
 
Baraza Kuu Maalum la Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania, limetoa siku 30 kwa uongozi wa shirika hilo kuweka mkataba wa hali bora kwa Wafanyakazi ambao rasimu yake ilishakuwa tayari tangu Februari 2023, tofauti na hapo watatangaza mgogoro na Mwajiri wao (TRC).

Baraza hilo limetoa azimio hilo katika kikao cha dharura kilichofanyika mkoani Morogoro kutokana na kuwepo kwa changamoto kwa Wanachama wake wakiwa kazini.

Katibu Mkuu wa TRAWU Taifa, Raphael Kazyoba amesema “Rasimu inatakiwa ifanyiwe kazi haraka, wasipofanyia kazi tutatangaza mgogoro kwa maslahi mapana ya Wafanyakazi na Shirika la Reli kwa ujumla wake.”

Naye, Jacob Shindika ambaye ni Mwenyekiti wa TRAWU Taifa amesema “Kuna daraja ambalo Mtumishi wa TRC anaweza kufanyakazi kwa miaka 40 akaja kulipwa Tsh Milioni Moja anapostaafu lakini tunapokuwa na mkataba wa Hali Bora mambo kama hayo yanafafanuliwa na inawasaidia Wafanyakazi.

Chanzo: Azam TV
Chawa wamekuwa wengi kwenye hivyo vyama vya wafanyakazi, hakuna lolote la maana watafanya. Utasikia wengine watajitokeza humo humo wataanza kusema mama anaupiga mwingi na matatizo Yao yameshafanyiwa kazi, kumbe wapi.
 
Baraza Kuu Maalum la Chama cha Wafanyakazi wa Shirika la Reli Tanzania, limetoa siku 30 kwa uongozi wa shirika hilo kuweka mkataba wa hali bora kwa Wafanyakazi ambao rasimu yake ilishakuwa tayari tangu Februari 2023, tofauti na hapo watatangaza mgogoro na Mwajiri wao (TRC).

Baraza hilo limetoa azimio hilo katika kikao cha dharura kilichofanyika mkoani Morogoro kutokana na kuwepo kwa changamoto kwa Wanachama wake wakiwa kazini.

Katibu Mkuu wa TRAWU Taifa, Raphael Kazyoba amesema “Rasimu inatakiwa ifanyiwe kazi haraka, wasipofanyia kazi tutatangaza mgogoro kwa maslahi mapana ya Wafanyakazi na Shirika la Reli kwa ujumla wake.”

Naye, Jacob Shindika ambaye ni Mwenyekiti wa TRAWU Taifa amesema “Kuna daraja ambalo Mtumishi wa TRC anaweza kufanyakazi kwa miaka 40 akaja kulipwa Tsh Milioni Moja anapostaafu lakini tunapokuwa na mkataba wa Hali Bora mambo kama hayo yanafafanuliwa na inawasaidia Wafanyakazi.

Chanzo: Azam TV
Kuna Mwamba alikuwa anaitwa Sylvester Rwegasira kama nipo sahihi,yule alikuwa mtetezi kwelikweli na Wahuni wakapita nae!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom