Wafanyakazi wa NMB Bank!

Wafanyakazi wa NMB Bank!

Zaman nilikua nmb nililazimika kuachana nao kwa sababu hizihizi za huduma mbovu nikawajaribu ACB ndio hawapo vizuri sana lkn angalau wanajitahidi.Nataman wangepitia huu uzi waone wenyewe ni kwa kiasi gani watu wamewachoka

Mimi pia niliingia ACB baada ya kuzinguliwa mno na hizo benki kubwa. Kuna tofauti kubwa - na naombea hizi benki ndogo zisikue mno kufikia udunishaji wa huduma.
 
NMB ilikuwa kitambo sio asa ivi kwani wanapenda sana ata Rushwa na hata kwenye mikopo ya Watumishi eti, kuna mdogo wangu Mwl Kigoma alikuwa anataka mkopo jamaa wakamlamba 200'000/= ivi ivi yani, siku 1 tutaja wataja kwa majina yenu
 
Kwa watanzania naona ni kawaida, hata madereva wa daladala akikuta watu wamejaa kituoni konda anafunga mlango wanaondoka bila abiria! full nyodo. Pia nmb mwenge kuna kijana wa kiume ni teller ana nyodo balaa (nachelea kusema km demu), ni mweupe hivi, mara avute midomo, mara achokonoe kucha, mara apokee simu, nafikiri hata kioo anacho pale, huku wateja wako foleni, fyuuuuuuu!
 
Habari wadau!

Wafanyakazi wa hii Bank nimewanyooshea mikono.Haijalishi ni tawi gani au mkoa gani nitaenda nitakayo kutana nayo ni yaleyale. Naishia kujiuliza wanastress, mishara midogo au ndio hulka zao??Maana ni full nyodo+service kama amelazimishwa vile,unaweza susa na shida ni yako.Sijui ni kwangu tu au ni kwenu nyote

wanataka wapewe TIP
 
Mi nilienda ofisi fulani za tra hapa mjini (dar), mwisho wa siku niliishia kustaajabu kwa huduma zao. Sio kama nilivyowachukulia. Ni wakarimu aisee! Nikaenda tena tawi jingine. Wako tofauti na hao wa awali. Nikajiuliza, hawa baba yao tofauti?
 
Kuhusu costumer service kweli kuna upungufu mkubwa Tanzania. For example mimi mimeishi nje ya nchi kwa takriban miaka 7 sasa na niliporudi home nilishangaa kila sehemu ninayokwenda kupewa huduma hata kama ya kulipia inakuwa kama unalazimisha.
 
Mi naona kama hii hapa ni kijitabia ka mtu.....mmoja mmoja hivi.!
 
NMB loh sina hamu nao kabisa- always being mood-less. Nilienda kwa lengo la ku-update acount yangu wee nilikoma mwenyewe tena asubuhi - dada kanuna na kanipa liform langu huko, kumuuliza nimekosea wapi anadai ooh angalia maelezo - Nikamwambia maelezo nimesoma yote to the point shall we go through it together and u higlight the area in question, wee akasema nenda kasomee kule nina mstari mrefu. Nilipotoka hapo straight kwa customer care manager --- walau nikasikilizwa baada ya kufoka sana. Sasa ni wangapi wataenda unga foleni kwa customer care manager?

Same day I made my decision to never bank with NMB. Makampuni yetu yajifunze customer care. na mteja ukimuudhi side effect ni kubwa , maana mi nilishawishi na naendelea kushawishi wote wenye acount nmb (kazini, ndugu, rafiki) waachane nao. So the multiplier effect ya walivyonimisstreat itandelea kuwala tu.

kiukweli ht mie wananikera,unakuta wamenuna kama wamelazimishwa vile jamani.Tawi ambalo nimewah kwenda nikapata huduma vizuri ni tegeta lkn branch nyingi unakutana na mnuno tu
 
nimie ya kwangu nimeamua kuipiga chini hata kama kuna fedha maana kila nikienda kuchukua form zile za kup-date napewa tofauti.nimeamua kuipotezea kabisa.
 
Kwa watanzania naona ni kawaida, hata madereva wa daladala akikuta watu wamejaa kituoni konda anafunga mlango wanaondoka bila abiria! full nyodo. Pia nmb mwenge kuna kijana wa kiume ni teller ana nyodo balaa (nachelea kusema km demu), ni mweupe hivi, mara avute midomo, mara achokonoe kucha, mara apokee simu, nafikiri hata kioo anacho pale, huku wateja wako foleni, fyuuuuuuu!

....Teh teh teh! Hapa umeua Mkuu! Dogo ameishatajwa tena humu Mkuu! Usikute ni Naniliu...!:tape2:
 
Makampuni yaliyopewa tuzo ya kuwa super brand kutoka secta mbalimbali ni kama ifuatavyo......NMB imeongoza kibenki kwa huduma kwa mwaka 2012,ITV kwenye television.......iyo ni tafiti kaka asa tukuskize wewe au trusted research and statistics company

Kwa hiyo wewe ukitaka kufungua akaunti utafuata hizo tafiti au utafuata aliye-experience huduma hizo?
 
NMB ilikuwa kitambo sio asa ivi kwani wanapenda sana ata Rushwa na hata kwenye mikopo ya Watumishi eti, kuna mdogo wangu Mwl Kigoma alikuwa anataka mkopo jamaa wakamlamba 200'000/= ivi ivi yani, siku 1 tutaja wataja kwa majina yenu

Angewalengesha takukuru
 
Kama sio kubebwa na Serikali hakika NMB ingesha zikwa muda murefu.
 
Basi labda ulikuwa na bahati tu, mimi hao CRDB washanizingua sana tu!

hata mi walinichefua kweli siku moja, a/c yangu ilikuwa na shida na nikahitaji maelezo, ujue a/c ya mteja ni siri ya bank na mteja, lakini alivyokuwa ananielimisha huyo mhudumu pale crdb benjamin tower, alikuwa haniambii mimi, alikuwa akihadithia kadamnasi yote iliyokuwepo pale bank, niliudhika mno na huduma ya mdada huyo, kwa kifupi alikuwa anapayuka
 
inabidi turudie enzi zile za kutunza fedha kwenye kopo na kuchimbia
 
mi nilisha gombana na dada mmoja hapa kenyata drive mwanza.wanaleta uzuri wao wa carolight kwenye kazi.sijui wanaonaga wote wanaoenda mle ni wapuuzi km wao.wanachefua sn.afu eti benki unakuta kuna manager.ana manage nn km wapuuzi km hawa wapowapo tu.
 
Back
Top Bottom