Habari wadau!
Wafanyakazi wa hii Bank nimewanyooshea mikono.Haijalishi ni tawi gani au mkoa gani nitaenda nitakayo kutana nayo ni yaleyale. Naishia kujiuliza wanastress, mishara midogo au ndio hulka zao??Maana ni full nyodo+service kama amelazimishwa vile,unaweza susa na shida ni yako.Sijui ni kwangu tu au ni kwenu nyote
Mkuu
Kijakazi,
kwa ufupi suala zima la ubora wa huduma au kusikiliza wateja (Customer
service) hapa kwetu ni tatizo kubwa sana, na sio NMB tu. Nenda bar,
nenda mgahawani nenda kwenye makampuni ya simu, mambo ni yaleyale.
Kiasi kwamba mtu akikuhudumia vizuri unashangaa, tena unatamai umuulize
wewe ni mtanzania? We need to change
Habari wadau!
Wafanyakazi wa hii Bank nimewanyooshea mikono.Haijalishi ni tawi gani au mkoa gani nitaenda nitakayo kutana nayo ni yaleyale. Naishia kujiuliza wanastress, mishara midogo au ndio hulka zao??Maana ni full nyodo+service kama amelazimishwa vile,unaweza susa na shida ni yako.Sijui ni kwangu tu au ni kwenu nyote
Sio kote bro,mi CRDB nawapa sifa yao.Sijawahi kuexperience mambo niliyoyaexperience NMB.
Mkuu tofauti ni ndogo sana, ukiona unaingia ofice ambayo utachangamkiwa ujue boss yupo around
Una mkono wa birika weye. Hebu wape elfu tano uone watakavyokuwa wanakuchangamkia
Hii bank ina tatizo kwenye usimamizi i mean uongozi kwanza wanavifanyakazi vibaya kwa sura ila vina nyodo kupindukia.
Uliwaumba ili uwaumbue?mhukumu mtu kwa utendaji wake ila sio kwa sura yake, wewe mwenyewe hukujiumba so usiwe kimbele mbele kuwatoa kasoro wenzako
Habari wadau!
Wafanyakazi wa hii Bank nimewanyooshea mikono.Haijalishi ni tawi gani au mkoa gani nitaenda nitakayo kutana nayo ni yaleyale. Naishia kujiuliza wanastress, mishara midogo au ndio hulka zao??Maana ni full nyodo+service kama amelazimishwa vile,unaweza susa na shida ni yako.Sijui ni kwangu tu au ni kwenu nyote
We ushuzi nini kafie mbele na maujinga yako ya kuuwatetea wapuuzi wenzako.
umenena kweli kabisa! watanzania ndivyo tulivyo.kujisikia kwingi kazi zero. mimi nilipata kuuliza hivi ni taasisi gani ya serikali inafanyakazi walau kwa kiwango cha 50%? kiukweli tupo chini sana kiutendaji.wengi tumekalia majungu na kutengeneza easy money.haya ni madhara ya ajira za upendeleo.siku moja nilienda NBC tawi la Mtwara nikawakuta wateja ka nane hivi lakini nilikaa almost one hour nasubiri kuhudumiwa. last week nikaenda TRA mtwara kubadili driving licence yangu ,tulikuwa watu wawili nikakaa dakika thelathini bila huduma huku anae takiwa kutuhudumia anaongea na simu kwa pozi utadhani ni mara yake ya kwanza kupigiwa simu na mwanamke! hao ndio watanzania bwana.ukienda bar huko waliko jaa darasa la saba ni shida kabisa customer care sifuri kabisa. ingekuwa huduma hizi zinatolewa na wazungu, mimi huku kwa watanzania nisikwenda kabisa,wanachosha.Mkuu Kijakazi, kwa ufupi suala zima la ubora wa huduma au kusikiliza wateja (Customer service) hapa kwetu ni tatizo kubwa sana, na sio NMB tu. Nenda bar, nenda mgahawani nenda kwenye makampuni ya simu, mambo ni yaleyale.
Kiasi kwamba mtu akikuhudumia vizuri unashangaa, tena unatamai umuulize wewe ni mtanzania? We need to change
Haya mambo haya, paying for a service you deserve/already paid for!!
Watanzania wote tuko hivyo, sio hao tu nenda kila Ofisi mambo ni hayo hayo tu, halafu wamejaa humu wanailaumu CCM kwa kila kitu!
Hii inaitwa tips kaka na siiobrushwa