Wapendwa, hongereni kwa kazi.
Najaribu kufikiri kwa kina, kisha naishia kujiuliza maswali yasiyo na majibu. Najiuliza;
Fedha au mali za umma ni kwa ajili ya Watanzania wote bila kujali tofauti yoyote. Je, Wafanyakazi wa umma kuongezewa mishahara kwa fedha za umma na Watanzania wengi zaidi ya 59,500,000 kubaki katika Dimbwi la umaskini bila kufaidi keki ya Taifa, hiyo si kugawa watu wa Taifa moja katika matabaka kadhaa?
Lakini pia najiuliza; ni kigezo gani kinachotumika kupanga kiwango cha mishahara ya Wafanyakazi wa umma?
Ahsante.
Najaribu kufikiri kwa kina, kisha naishia kujiuliza maswali yasiyo na majibu. Najiuliza;
Fedha au mali za umma ni kwa ajili ya Watanzania wote bila kujali tofauti yoyote. Je, Wafanyakazi wa umma kuongezewa mishahara kwa fedha za umma na Watanzania wengi zaidi ya 59,500,000 kubaki katika Dimbwi la umaskini bila kufaidi keki ya Taifa, hiyo si kugawa watu wa Taifa moja katika matabaka kadhaa?
Lakini pia najiuliza; ni kigezo gani kinachotumika kupanga kiwango cha mishahara ya Wafanyakazi wa umma?
Ahsante.