Wafanyakazi wa ndani si watumwa wawe wanaheshimiwa kama binadamu aliye huru

Kulingana na maisha yetu baadhi ya watanzania. Hakuna mtu anaefaidi kama dada wa kazi au kaka wa kazi. Ni baadhi sio woote.
Unakuta dada wa kazi mshahara ni kati ya elfu 30 mpaka elfu 50.

Anakula milo mitatu, anaoga maji, umeme bure wakat mwingine mavazi ama taulo za kihihufadhi(pedi) anapewa bure akitibiwa matibabu bure kama vile anabima...
Sawa ila hizo package zinaendana na kaz anayoifanya, ila uamini jaribu siku moja kubaki home angalau wiki tu alaf yeye umruhusu aende likizo kwao ndio utaona hadha anayopitia tena usiombe uwe na watoto wadogo utataman ukimbie nyumba
 
Pole sana ndugu.
Usile sumu kisa tu umeishaiweka kwenye chakura.

Usipo shituka mapema atakuharibia na hao watoto ulio zaa nae maana nao wataiga tabia zake.
Sasa mkuu nifanye aje na umuri hu 39 ntaanza je mchakato wa kupata mke mgine na kufanya zinaa siwezi.....inabidi nimvumilie tu.....ila Yule mama ana roho mbaya kweli kweli kuna siku almnyima cha kula kisa hakushiriki kwenye kazi alienda kwa ndg zake hapo jilani kuwajulia hali, wakati almuomba ruhsa, sijui kama Wanyaturu wote wako hivo au ni wakwangu tu?
 
Dada anapata say, 50,000/- lakini wewe hujapiga mahesabu mengi mengine;

1. Chumba anakaa roughly 50,000 kwa mwezi.

2. Chakula anakula sawa na mwanangu (sibagui kwa lolote), say 150,000 kwa mwezi.

3. Nikinunua nguo za wanangu naweka bajeti yake ndogo hapo.

4. Akiumwa ni jukumu langu kumpeleka hospitali. Siwezi kukupa estimation.

5. Akisafiri likizo nampa nauli, nampa zawadi apeleke kwa wazazi.

6. Uhuru huo unaosema sewezi kumpa coz yupo chini ya paa langu, anaweza kuwa na boyfriend lakini haruhusiwi kunjunjana ndani kwangu(atawafundisha nini watoto).

7. Siwezi kumkatia bima ya afya, ref. scales za bima kwa 18+, hata wazazi hatuziwezi sema ajira ndio zinatuokoa.

8. Wengine wanakuja na tabia mbovu (wamefunzwa shirka huko watokako) hivyo ni lazima kabla ya kwenda nae sawa ujuwe unaishi na binti wa aina gani.
 
Wanawake ndo adui wa kuu wa wafanya kazi wa ndani.....mke wangu anatimua wafanya kazi kila baada ya miazi miwili mitatu eti hataki mazoea nao.

Nashindwa kuwakalili majina kila mda kidogo naona mpya, huyu mama (mke wangu) Ana roho mbaya sijapata kuona ningekua sijazaa nae ningemkimbia.
Haya uliyoandika ulishawahi kumwambia?
 
Sasa mkuu nifanye aje na umuri hu 39 ntaanza je mchakato wa kupata mke mgine na kufanya zinaa siwezi.....inabidi nimvumilie tu.....ila Yule mama ana roho mbaya kweli kweli kuna siku almnyima cha kula kisa hakushiriki kwenye kazi alienda kwa ndg zake hapo jilani kuwajulia hali, wakati almuomba ruhsa, sijui kama Wanyaturu wote wako hivo au ni wakwangu tu?
Chukua watoto mpe ruhusu aindoke ulee watoto mwenyewe ongea ata na mama ako umwambie ukweli kama akikubari wapeleke kwa mama yako umuwekee msaidizi tu huko wenda wakawa salama zaid. Mbali na hapo tarajia kuwa na watoto wakatiri kama mama yao, ipo siku watafanya uovu alaf wasema mbona mama uwa anafanya umfanyi kitu
 
Dada anapata say, 50,000/- lakini wewe hujapiga mahesabu mengi mengine;
1. Chumba anakaa roughly 50,000 kwa mwezi.
2. Chakula anakula sawa na mwanangu(sibagui kwa lolote), say 150,000 kwa mwezi.
3. Nikinunua nguo za wanangu naweka bajeti yake ndogo hapo
My friend usiwie mzungu sana this is Africa tunategemeana na kusaidiana mtu kujitowa maisha yake yote asaidie familia yako sio jambo la kumpimia kwa chakula anacho kula kwako au hizo nguo za mitumba unazo mnunulia au ile mikati miwili unao mpa apelekee wazazi wake kama zawadi ......huyu bint unaweza kumdharau ila anaweza kua determinant kubwa katika maisha yako au uhai wako kuliko boss ako ofisini au mkeo muwape thamani inao stahili
 
My friend usiwie mzungu sana this is Africa tunategemeana na kusaidiana mtu kujitowa maisha yake yote akusaidie familia yako sio jamba la kupima kwa chakula anacho kula au hizo nguo za mtumba unazo mnunulia au ile mikati miwili unao mpa wapeleke kwa wazazi wake.......huyu bint anaweza unadharau ila anaweza kua determinant kubwa katika maisha yako au uhai wako kuliko boss ako ofisini au mkeo muwape thamani inao stahili
Sasa ulitaka hapo niwe na roho nzuri kiasi gani, kama binti anaishi vizuri tu na kupata basic needs zilizo ndani ya uwezo wangu. Wewe ungeshauri kipi kibadilike hapo?
 
Haya uliyoandika ulishawahi kumwambia?
Nimwambie kila siku paka ikawa kero kwamba ni smiingilie kwenye suala la wafanya kazi wa ndani.....eti atakimuua nayeye atakae fungwa sio mimi, kwa ufupi ule mama sio mzuri hana huruma lichayakua nayeye kalelewa kwenye familia duni
 
kuhusu kuchunguza mabegi ya wafanayakazi wa ndani

Kuna jamaa alikutana na Tunguli za kutosha kwenye begi la msichana wake wa ndani.Alipomuuliza hii ni nini?akijibiwa ni kinga

Na mwingine mwingine (huyu wa kiume) alivyopekuliwa alikutwa na misokoto ya bangi ya kutosha.kumbe alikuwa anapasha.Bila bosi wake kujua.sijui mwishowake ungekuwaje.ndiyo nikaunganisha na kile kisa cha yule mama mstaafu aliyeuwawa na shambaboy wake.

Na mwingine alipopekuwa begi la mdada wake alikutana na picha za mume wake zimewekwa pamoja na nguo za ndani za mama mwenye nyumba.

Ila siyo vizuri kupekua mabegi ya wafanyakazi wetu.hata pale Airport tutagomea kupekua mabegi yetu hata wakisi kuna vitu vya hatari
 
Wanyanyasaji wa wafanyakazi wa ndani ni wanawake, na watoto wanaodekezwa.Kama kuna Mwanaume naye anaingia katika kundi hili la wanyanyasaji wa mabinti wa kazi, huyo ana matatizo,na ni aibu kumjumuisha kwenye kundi la wanaume.
wanaume pia wapo kwenye kundi la kunyanysa wafanyakazi wa ndani, sema tofauti na sisi wanawake, wao huwanyanyasa kingono, unakuta baba mtu mzima anatembea na katoto ambako ni sawa na mjukuuu wake, na hili nilishashuhudia jamani niliishi nyumba moja sinza huyo baba ni mtu mzima sana mkewe alishafariki alikuwa anaishi na watoto wake tu, basi akaleta housegirl, kale kabinti kalikuwa kadogo kwa kweli kwenye 15years hivi, ila alianza kutembea na kale katoto na mbaya zaidi watoto wooote wanaenda shule wanabaki wawili tu aisee nilikuaga nasikia uchungu sana kwa kale ka binti ingawa kenyewe kalikuwa kanaonekana kama kana furahia yale maisha
 
Mimi huwa nawapenda sana maana wana nifaraiji sana kwakweli nime watafuna mpka basi nani watam balaaa wanajua kupenda hao alafu kwanza hawajui hata kuchuna
huu pia ni unyanyasaji, sizani kama utafurahi kuona mwanao au ndugu yako wakike anafanyiwa hivyo
 
Chukua watoto mpe ruhusu aindoke ulee watoto mwenyewe ongea ata na mama ako umwambie ukweli kama akikubari wapeleke kwa mama yako umuwekee msaidizi tu huko wenda wakawa salama zaid. Mbali na hapo tarajia kuwa na watoto wakatiri kama mama yao, ipo siku watafanya uovu alaf wasema mbona mama uwa anafanya umfanyi kitu
Ni kweli mkuu ila watoto wengine hawajafikisha 12 ambao ni umuri wa kisharia kukaa mbali na mama yao mzazi pia mimi sitaki kesi za mahakama zinapoteza mda akili nazinaongeza uandui na mke angu akili zake zitamuelekaza kifungua kesi, tena mama angu mzazi hataki kukaa town najua vijijini hamna shule za Engilish mediam nzuri kwa hiyo nichangamoto kubwa kwa kimuaha huyu mke angu wa raho mbaya
 
Mbona ilo ni jambo dogo. Kama unajua hivyo ukimfikisga hom tu unampereka kwenye vituo vya trust ama hospital wanamuwekea njiti ili asiweze kubeba ujauzito. Kwan uwez mchunga kila siku ila unaweza kuzuia asibebe mimba
hiyo sio solution sema ndo utakuwa umetoa go ahead ndo atakitembeza balaa
 
Sasa ulitaka hapo niwe na roho nzuri kiasi gani, kama binti anaishi vizuri tu na kupata basic needs zilizo ndani ya uwezo wangu. Wewe ungeshauri kipi kibadilike hapo?
Nimwambie kila siku paka ikawa kero kwamba ni smiingilie kwenye suala la wafanya kazi wa ndani.....eti atakimuua nayeye atakae fungwa sio mimi, kwa ufupi ule mama sio mzuri hana huruma lichayakua nayeye kalelewa kwenye familia duni
kwani ulikurupuka tu kumuoa hukumjua kabla? na ndugu wengine ana wa treat vp? i mean ndugu zako na wake
 
wanaume pia wapo kwenye kundi la kunyanysa wafanyakazi wa ndani, sema tofauti na sisi wanawake, wao huwanyanyasa kingono, unakuta baba mtu mzima anatembea na katoto ambako ni sawa na mjukuuu wake, na hili nilishashuhudia jamani niliishi nyumba moja sinza huyo baba ni mtu mzima sana mkewe alishafariki alikuwa anaishi na watoto wake tu, basi akaleta housegirl, kale kabinti kalikuwa kadogo kwa kweli kwenye 15years hivi, ila alianza kutembea na kale katoto na mbaya zaidi watoto wooote wanaenda shule wanabaki wawili tu aisee nilikuaga nasikia uchungu sana kwa kale ka binti ingawa kenyewe kalikuwa kanaonekana kama kana furahia yale maisha
Labda walikubaliana akaoe, ila hizo ni isolation cases sisi wanaumme wengine wana matatizo ya kimental hata unaweza baba mzima akamlala bint yake kabisa wa kuzaa kwahiyo wanaumme tuko tafouti
 
Labda walikubaliana akaoe, ila hizo ni isolation cases sisi wanaumme wengine wana matatizo ya kimental hata unaweza baba mzima akamlala bint yake kabisa wa kuzaa kwahiyo wanaumme tuko tafouti
amuoe wap yule baba ni mshenzi tu
 
kwani ulikurupuka tu kumuoa hukumjua kabla? na ndugu wengine ana wa treat vp? i mean ndugu zako na wake
Mkuu hiyo sio issue wanawake wanabadilika na pia huwezi kuchunguza kila tabia yake, mimi nilisoma nae chuo kwa miaka minne nikaona anafaa , nikaenda kwao nikaona pako safi nikafanya kazi fulani kaka ake akuniambia chochote cha kunizuia kuendelea nae kwenye mchakato wa kumuoa alianza kuonyesha her true colour baada ya mtoto wetu wa kwanza
 
Mkuu hiyo sio issue wanawake wanabadilika na pia huwezi kuchunguza kila tabia yake, mimi nilisoma nae chuo kwa miaka minne nikaona anafaa , nikaenda kwao nikaona pako safi nikafanya kazi fulani kaka ake akuniambia chochote cha kunizuia kuendelea nae kwenye mchakato wa kumuoa alianza kuonyesha her true colour baada ya mtoto wetu wa kwanza
ndo mana nikauliza hiyo roho mbaya ni mpaka kwa ndugu zako au ni kwa ma hg tu?
 
Yupo mmoja alimuabuse mtoto wangu, akiwa anamuogesha anamchezea mb yake dogo anacheka balaa, sasa hii si hatari kabisa
 
ndo mana nikauliza hiyo roho mbaya ni mpaka kwa ndugu zako au ni kwa ma hg tu?
Mmh! huyu mama Ana raho mbaya hata kwa ndg zake kabisa, mimi ndg zangu hawaji kwangu sijui kwanini au alisha waonyeha roho mbaya sijui kwa kweli
 
Back
Top Bottom