Wafanyakazi TTCL kupelekwa TRA na bandarini

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,484
20,436
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Mmmh TZ kwa kuua Mashirika ya Uma kumeanza
 
Nampongeza mh. Rais "shirika linalonyonya fedha za bure bila kuzalisha chochote ni mzigo kwa serekali" na ni upuuzi kuendelea kuwa nalo,maana fedha zinazojazwa humo zingeweza kufanya mengine mazuri kwenye taifa letu.
N. B, TTCL MOBILE, ATAFUTWE MWEKEZAJI ATAKAYELIMUDU TUSIUE TTCL TELECOM MOJA KWA MOJA.
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Hamna kitu kama hicho. Kikubwa wakiandae kwenda Halmashauri za miji kule ndiyo zoa zoa ya deadwood.
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Fake news
 
TTCL ni ngumu kushindana na Tigo au Vodacom. Watu ni wavivu sana huko. Huko Kuna mawazo mgando wazee wenye vyeo! Kuna mazee Yana vyeo serikalini ila akili hamna na hayapendi kustaafu ubunifu zero! huko govt Kuna urasimu na sheria za manunuzi my foot huwezi kushindana na ford brand new za tigo zikibrand kampuni mitaani! Mara sijui magari ya matangazo wadada wanapekecha!!
Hawa TTCL wameisha fungeni mashirika na mengine yaliyochoka!

Na mwendokasi pia serikali waachie wameshindwa. Usafiri wa unyanyasaji raia. Kujaza raia kupita kiasi hadi kushindwa kupumua na mabasi kupaki sana vituo vya mwisho sasa maana yao ya rapid transport haipo . Jana sijui Kuna stori gari lao limegonga Mtu likampasua ubongo damu zikatapakaa road na raia wakafunga Barabara Kwa hasira maana jamaa wamezidi ajali Kila siku wanagonga raia! Halafu uwezo wao kipesa ni mdogo wana mabasi machache sana,! Hili shirika apewe hata Azam au GSM
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Serikali ishtakiwe mahakamani kwa kuua haya mashirika.
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.
Wanawapeleka huko wakayauwe na hayo mengine.
 
TRA wanaiharibu siku hizi Kwa kuchomekea wafanyakazi kutoka nje ya TRA.

Ikumbukwe kila mtu angependa kwenda huko Au kupeleka mwanae.

Kwanini TRA isiwe autonomous?

Nchi karibia zote Duniani Mamlaka za Mapato ya serikali ziko autonomously isipokuwa bongo.

Wakati wa Ben Mkapa alijitahidi iwe semi autonomous.

Lakini kuanzia awamu ilopita sijui kumetokea nini!

Kuanzia Viongozi top wanatolewa nje ya taasisi.

Bwana yule sijui amefanyaje mambo kuwa upside down.
 
Watu wengi walioko nje wanaota kwenda kuhamishiwa pale Kwa udi na uvumba.

Mtaharibu Mamlaka .

Duniani kote hizo taasisi ziko autonomous isipokuwa huko bongo.

Wenye akili wamshauri Rais juu ya jambo hilo.
 
TRA wanaiharibu siku hizi Kwa kuchomekea wafanyakazi kutoka nje ya TRA.

Ikumbukwe kila mtu angependa kwenda huko Au kupeleka mwanae.

Kwanini TRA isiwe autonomous?

Nchi karibia zote Duniani Mamlaka za Mapato ya serikali ziko autonomously isipokuwa bongo.

Wakati wa Ben Mkapa alijitahidi iwe semi autonomous.

Lakini kuanzia awamu ilopita sijui kumetokea nini!

Kuanzia Viongozi top wanatolewa nje ya taasisi.

Bwana yule sijui amefanyaje mambo kuwa upside down.
Bongo cyber security ni ndogo ukiweka automous Mfumo wa mapato tugemea watu kucrack sana na kukwepa kabisa


Pia urasimu na mlolongo mrefu ambapo mamlaka nyingine zinatakiwa kuingiliana na TRA kimfumo mfano bandari yaani bandari bado kuwa automation kweny utendaji watawezaje kulink na TRA maana wao ndo sehemu kubwa ya mapato
 
Wakati shirika la simu Tanzania ( TTCL) likiwa katika hatua za mwisho mwisho kufunga operasheni zake upande wa simu na kuwaacha wenzao upande wa mkongo wa taifa kuitikia wito wa mama Samia, bashasha zimetawala nyusoni mwa wafanyakazi wengi.
Kitu pekee kinachoweza kuwa hasi kwa wafanyakazi hao ni kwenda kuanza kazi maeneo mapya, lakini wafanyakazi wengi wameanza kupongezana kwenye magroup ya WhatsApp nk baada ya habari kuvuja kuwa wote watakuwa absorbed "vitengo' yaani bandarini na TRA.
Kila kheri ndg zetu.

Hii imekaa kiuongo zaidi...
 
Back
Top Bottom