NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
kwa wanaonunua mizigo bila kodi ya vat 18% naweza kuwaelewa kwamba wapo kundi moja na wale wa magendo, ila hawa wanaonunua mizigo yenye vat inakuwaje sasa.
Mfano mfanyabiashara kaenda kufunga mzigo flani, huo mzigo alionunua ni mkubwa na kafaidika kwa punguzo la bei ya jumla, akipiga hesabu ya bidhaa moja moja ni takribani shilingi elf 20,.... kwa hii bei ina maana kwamba kwenye risiti ya tra kwa hizo bidhaa za elf 20 kalipia kodi ya vat asilimia 18% sawa na 3,050.
akienda kuuza kwa reja reja hizo bidhaa anaweza kuuza kwa shilingi elf 25,000, akiuza kwa kutoa risiti ni kwamba ndani ya hio bei kuna hela yake shilingi 21,186 pamoja na kodi ya vat anayolipia mteja shilingi 3,814, ndani ya hii kodi ya vat mfanyabiahara atajilipa mwenyewe ile kodi ya shilingi 3,050 aliyolipa wakati anafunga mzigo, wao TRA watachomdai ni ile kodi iliyozidi ukiachana na ile aliyojifidia 3,814 - 3,050 = 764
hata auze kwa faida ya jero bado atajilipa vat aliyolipia wakati ananunua mzigo
unakomboa hela ya kununua mzigo + faida + unafidia vat uliyolipa mwanzo ...
Ni kipi hasa kinawafanya wafanyabiashara kukwepa kukomboa kodi walizolipa na kujiingiza kwenye matatizo ya kupigwa faini nzito, kufungiwa account, kupelekwa mahakamani, n.k.
Mfano mfanyabiashara kaenda kufunga mzigo flani, huo mzigo alionunua ni mkubwa na kafaidika kwa punguzo la bei ya jumla, akipiga hesabu ya bidhaa moja moja ni takribani shilingi elf 20,.... kwa hii bei ina maana kwamba kwenye risiti ya tra kwa hizo bidhaa za elf 20 kalipia kodi ya vat asilimia 18% sawa na 3,050.
akienda kuuza kwa reja reja hizo bidhaa anaweza kuuza kwa shilingi elf 25,000, akiuza kwa kutoa risiti ni kwamba ndani ya hio bei kuna hela yake shilingi 21,186 pamoja na kodi ya vat anayolipia mteja shilingi 3,814, ndani ya hii kodi ya vat mfanyabiahara atajilipa mwenyewe ile kodi ya shilingi 3,050 aliyolipa wakati anafunga mzigo, wao TRA watachomdai ni ile kodi iliyozidi ukiachana na ile aliyojifidia 3,814 - 3,050 = 764
hata auze kwa faida ya jero bado atajilipa vat aliyolipia wakati ananunua mzigo
unakomboa hela ya kununua mzigo + faida + unafidia vat uliyolipa mwanzo ...
Ni kipi hasa kinawafanya wafanyabiashara kukwepa kukomboa kodi walizolipa na kujiingiza kwenye matatizo ya kupigwa faini nzito, kufungiwa account, kupelekwa mahakamani, n.k.