Wafanya usafi maofisini

Wafanya usafi maofisini

Mi dushe langu nimeliweka first class sio kila mwanamke anaruhusiwa kulinyonya na kuliingiza kwenye papuchi yake,tatizo wanaume wengi kuanzia upper class mpaka lower class madushe wanayachukulia poa ndo mana barmaids twende,wauza nyapu hewala,housegirl haina matata,mfanyakazi mwenzie fresh tuuu

NB:Sio kila mtu anatakiwa akuone ukiwa uchi wewe sio mbuzi!

Hahahahaha nimecheka hiyo N.B lol
 
Eti kwanini nitembee na mfanya usafi ofisini anayeishi uswahilini huko
1. Ivi wanaoishi uswahilini huwa hawana nyege?
2. Sio kila uanyemtupia tongozo akakubali siku hiyohiyo nimalaya lahasha mlikutana wote mnaminyege ya mda mrefu
3. Ulidandia gari kwa mbele na sio kila kingaacho ni zahabu.
4. Kazi ni kazi tofauti majina

well said my dear.... usikute huyo mdada anamzid mshahara hajui tu!!!!
 
Dharau siyo nzuri, kazi ni kazi tu. Wapo wengine ambao wamesoma kwa wazazi wao kuuza pombe za kienyeji na wengine kufagia hata barabarani na ndiyo maana uko hapo ulipo sasa hivi.

Kwani huyo unayelala naye unaijua foleni yake.
 
Ofisini kwa kawaida huwa nafika saa kumi na mbili kamili asubuhi, mida hiyo lile kampuni la kufanya usafi ofisini kwetu wafanyakazi wake wanafika hapa saa kumi au kumi na moja kasoro asubuhi, nawakuta wameshamaliza usafi sasa wanaelekea vyooni kusafisha.

Kuna msichana mmoja hapa amekuwa akinipiga mzinga wa nauli mara kwa mara anasema hana nauli, ni msichana mzuri sana hata huwezi amini kwanini anafanya kazi za usafi maofisini.

Siku moja al manusura shetani anishinde, lakini nilishinda nusu, nilimjaribisha kuomba mzigo, hakusita kukataa nikajuta kwanini nimemwomba halafu amekubali moja kwa moja ila hataki kufanyia ofisini anataka nje ya ofisi, nijajiuliza kwanini amekubali haraka hivi? halafu, kwanini nitembee na mfanya usafi ofisini anayeishi uswahilini huko? nikamwacha kama alivyo na nikaona huyu malaya tu kumbe na huo ulikuwa mtego wangu kwake kumfahamu ombaomba ya nauli yake.

Miezi mitano imeshapita sasa, anafanya usafi floor nzima wako na wanaume wawili vijana wenzie lakini yeye mcheshi kweli. Kuja kugundua, kumbe zile nauli alikuwa anatuomba wanaume wa vyumba vyote kwenye floor yetu kila mtu akimpiga kibuti cha nauli anakusanya kama konda wa daladala.

Kufanya utafiti, ametembea na wanaume wa floor nzima kasoro mimi, hapo ndipo nilichoka. Nikajiuliza kumbe hawa wasichana wa usafi ni wabaya hivi, si wanaweza kuambukiza UKIMWI ofisi au hata gorofa zima? halafu ni wazurii hadi unajiuliza inakuwaje msichana mzuri kama huyu anafanya kazi za usafi? kuweni makini wandugu.

Trust nobody, mkuu.
 
Uliponea kwenye tundu la sindano.Ila nilichogundua hapo wafanyakazi wa kiume wanatumia advantage ya kumpa nauli kumuomba papuchi sasa na yeye ameona ndio mchezo mwisho wake imekua tabia
 
Ukiona mwanaume anajishaua hivi,ujue amelelewa malezi ya kuku wa broila,na watu kama hawa ni ngumu sna kwao kuweza ku-socialize na jamii tofauti.Mabwege kama hawa hata kufanikiwa kwao kunategemea wazaz wao in a 95%,hawana ujasir wa kuthubutu kwa lolote.
 
Kwanza acha kudharau kazi za watu na pili kuna huko uswahilini wanaishi kina nani? siyo binadamu wenzio? yawezekana hata kazi uliyonaye n ya mchakato hata sifa huna. So take care
 
Mtaendelea kuambukizwa na mimi nasema muambukizwe tu maana hatuna namna nyingine....kubaki njia kuu hamtaki,kutumia condom mnaona mzigo tuwasaidieje watu kama ninyi(nakuambia wewe kwa niaba ya hiyo floor nzima)

Khantwe wewe ni binti wa rahisi mtarajiwa? Naona mnafanana swaga za kuongea!
 
Inaelekea unamtaka lakini tatizo ni maskini, anakaa uswahilini, anafanya kazi ya usafi (daraja la chini), ametembea na wanaume floor nzima!
Lakini angekuwa si maskini, hakai uswahilini, ana kazi yenye hadhi lakini bado ametembea na wanaume floor nzima isingekuwa tatizo kwako?
Kwa mwanaume wa kweli, mwamamke ni mwanamke tu bora akidhi vigezo vinavyomvutia bila kujali kazi na umaskini wake. Mfagizi hanogi?
 
Hata hapa ofisini kwangu yupo lakini siwezi kujilegeza kwake hata siku moja, jitunzie heshima yako.
 
Sasa mkuu kwani uzuri ni guarantee ya kuwa na kazi nzuri?

Anaweza kuwa mzuri lakini kisomo kikawa shida kwa hiyo huwezi shangaa. After all kufanya usafi ni kazi kama kazi nyingine tena siku hizi hadi kuna vyuo vinavyofundisha mambo hayo sema huwa hatuna utaratibu wa kuheshimu kazi na tuna dhana ya kuthamini baadhi ya kazi.

Hawa ndiyo wale wale kabla ya ku graduate kashapatiwa nafasi na mzee wake!
 
Back
Top Bottom