Wafanya usafi maofisini

Wafanya usafi maofisini

Hawa unaowaita ndugu zako ni kina nani? mabwege kama wewe au! maana watz wengi wetu tupo kwa level ya maisha ya huyo dada,means huyo ndo ndugu ytu sisi,ww labda unamtahadharisha mamako hapa,ungemlaumu kwa ukicheche sawa,but syo kusema DHARAU hapa.
 
huyo dada hafai inawezekana hata elimu kuhusu ukimwi hana au ana maisha magumu sana yanayopelekea afanye hivyo ongea nae mwambie anajikaribishia kifo ajirekebishe


Kufanya mapenzi na watu wengi ndio kutokuwa na elimu ya VVU/UKIMWI? Mbona kwenye kampeni tunaambiwa kuna mashua 3. Kuwa na mpenzi 1, kutumia Kinga na kusubiri kwa mtu asiye na mpenzi.
Labda mwenzetu anatumia KINGA, lakini tatizo (kama lipo) halipo kwa huyo dada tu bali hata wale wanaoshiliki nae.

 
"Kutembea na msichana anayeishi uswaahilini" !!! Unataka wa Upanga na Masaki?
 
Dada wa usafi ndie aliekataa kufanyia ofisini, halafu jamaa linajisifu hapa. Kama angekubali kufanyia ofisini, I amsure jamaa nae angeongeza idadi ya list kwenye floor yao

Alikataa kufanya ofisini! ?
 
huyo dada hafai inawezekana hata elimu kuhusu ukimwi hana au ana maisha magumu sana yanayopelekea afanye hivyo ongea nae mwambie anajikaribishia kifo ajirekebishe
miss neddy, nipo tayari kwa hot talk....
 
Last edited by a moderator:
Dada wa usafi ndie aliekataa kufanyia ofisini, halafu jamaa linajisifu hapa. Kama angekubali kufanyia ofisini, I amsure jamaa nae angeongeza idadi ya list kwenye floor yao

ndio namuuliza, kama kweli ana akili itakuwaje atoe mawazo wafanye ofisini
 
Muongo.......labda useme simu yako haitumii line mbili......kwa hiyo unatumia mtandao mmoja tu.....

hujui tumeanzia wapi stay away........... sipendi watu wanaopenda kuweka maneno midomoni kwa watu mi muongo haya unanifahamu? unataka niseme kitu kinachokufurahisha wewe ndo uwe ukweli
 
Ofisini kwa kawaida huwa nafika saa kumi na mbili kamili asubuhi, mida hiyo lile kampuni la kufanya usafi ofisini kwetu wafanyakazi wake wanafika hapa saa kumi au kumi na moja kasoro asubuhi, nawakuta wameshamaliza usafi sasa wanaelekea vyooni kusafisha.

Kuna msichana mmoja hapa amekuwa akinipiga mzinga wa nauli mara kwa mara anasema hana nauli, ni msichana mzuri sana hata huwezi amini kwanini anafanya kazi za usafi maofisini.

Siku moja al manusura shetani anishinde, lakini nilishinda nusu, nilimjaribisha kuomba mzigo, hakusita kukataa nikajuta kwanini nimemwomba halafu amekubali moja kwa moja ila hataki kufanyia ofisini anataka nje ya ofisi,

Nijajiuliza kwanini amekubali haraka hivi? halafu, kwanini nitembee na mfanya usafi ofisini anayeishi uswahilini huko? nikamwacha kama alivyo na nikaona huyu malaya tu kumbe na huo ulikuwa mtego wangu kwake kumfahamu ombaomba ya nauli yake.

Miezi mitano imeshapita sasa, anafanya usafi floor nzima wako na wanaume wawili vijana wenzie lakini yeye mcheshi kweli. Kuja kugundua, kumbe zile nauli alikuwa anatuomba wanaume wa vyumba vyote kwenye floor yetu kila mtu akimpiga kibuti cha nauli anakusanya kama konda wa daladala.

Kufanya utafiti, ametembea na wanaume wa floor nzima kasoro mimi, hapo ndipo nilichoka. Nikajiuliza kumbe hawa wasichana wa usafi ni wabaya hivi, si wanaweza kuambukiza UKIMWI ofisi au hata gorofa zima?

Hhalafu ni wazurii hadi unajiuliza inakuwaje msichana mzuri kama huyu anafanya kazi za usafi? kuweni makini wandugu.

........ndio 'anawasafisha floor nzima!' huyo. :coffee:
 
hujui tumeanzia wapi stay away........... sipendi watu wanaopenda kuweka maneno midomoni kwa watu mi muongo haya unanifahamu? unataka niseme kitu kinachokufurahisha wewe ndo uwe ukweli

Calm down my girl....sijazoea kukuona ukiongea hivyo u know. Mi nimezoea kawifi kangu kapole
 
Tatizo hapa ni
Kuombwa nauli

Kulambwa na wanaume

Au kuwa mzuri na kufanya usafi ofisini??
 
Back
Top Bottom