Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
We mleta mada kazi ni kazi eti huwezi amini msichana mzuri anafanya usafi sasa ulitaka auze bar ?
Sasa mkuu kwani uzuri ni guarantee ya kuwa na kazi nzuri?
Anaweza kuwa mzuri lakini kisomo kikawa shida kwa hiyo huwezi shangaa. After all kufanya usafi ni kazi kama kazi nyingine tena siku hizi hadi kuna vyuo vinavyofundisha mambo hayo sema huwa hatuna utaratibu wa kuheshimu kazi na tuna dhana ya kuthamini baadhi ya kazi.
ungejua analipwa mshahara kiasi gani usingemdharau kiasi hiki!
Nyie si vijogoo donoeni tu....!!!
watu wanalipwa mishahara mpaka laki nne kwa kazi tu ya usafi wa maofisi lol
huyo dada hafai inawezekana hata elimu kuhusu ukimwi hana au ana maisha magumu sana yanayopelekea afanye hivyo ongea nae mwambie anajikaribishia kifo ajirekebishe
toto dogo hata udenda hujakukauka domoni.. Unalia nini we mwali? Si ulitaka mwenyewe!! Japo inauma we kaza kiuno DAWA IKUINGIE VIZURI utazoea tu.