Huyu jamaa naye nilimchukia sana alijaribu kutumia aya za Quran kufichia maovu huyu jamaa ni mnnafiki sana sidhan kama ana uislamu wowote
Mimi ni MUISLAM lakin huyu jamaa ni mnafiki sana anatumia Quran yetu vibaya Anasema tutumie busara kuijadili na wezi .