ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Prof.Makame Mbarawa amewashangaa TanRoads Kukosa Resident Engineers ambao husimamia miradi Mikubwa ya ujenzi badala yake TanRoads wamekuwa wakitegemea Kuajiri Waethiopia kwenye Kazi hiyo..
Resident Engineers huliowa Dola 10,000 Kwa mwezi (zaidi ya mil.22) ambazo zingeenda Kwa Watanzania ila Kwa kuwa hakuna Mainjinia wenye sifa Wageni hulazimika kuajiriwa..
Waziri Mbarawa ameiagiza TanRoads kuanza Mchakato wa kuandaa wahandisi hao wa Kitanzania Ili Waanze kusimamia miradi..
My Take
Kama Ma Engineers wa Miradi ya Barabara hawapo,Ni Haki Bandari wapewe Waarabu maana Hii Nchi Kila kitu tumeshindwa..
Resident Engineers huliowa Dola 10,000 Kwa mwezi (zaidi ya mil.22) ambazo zingeenda Kwa Watanzania ila Kwa kuwa hakuna Mainjinia wenye sifa Wageni hulazimika kuajiriwa..
Waziri Mbarawa ameiagiza TanRoads kuanza Mchakato wa kuandaa wahandisi hao wa Kitanzania Ili Waanze kusimamia miradi..
My Take
Kama Ma Engineers wa Miradi ya Barabara hawapo,Ni Haki Bandari wapewe Waarabu maana Hii Nchi Kila kitu tumeshindwa..