johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,036
- 142,106
Kwa wale wajuzi wa mambo ya Biblia naomba kufahamu Nabii Musa alikuwa na asili ya Uzungu, Uarabu au alikuwa ni Mwafrika kama yule Simon Mkirene aliyebeba msalaba wa Yesu?
Mungu wa mbinguni awabariki!
Mungu wa mbinguni awabariki!