kingkongtz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2019
- 1,025
- 3,461
Kwema ndugu zangu,
Bodaboda wana tabia za ajabu sana sijui kwanini.
Unaweza ukawa unatembea unashangaa wanakupigia honi.
Au upo njiani unatembea unashangaa boda huyu hapa "oya braza wapi" sasa nabaki najiuliza ina maana mimi sijui napokwenda au?
Leo nimeshuka kwenye gari akaja boda na pikipiki yake akanambia bro twenzetu kanikomalia kweli kweli, honi kibaoo nikamuuliza unajua napokwenda "akanambia we panda nikupeleke hadi ndani.
Nikaamua kupanda muda huo nishajipigia K Vant moja kichwa cheupeee. Tukaenda tumefika maeneo nikamwambia tayari nishushe. Nimeshuka tu akaomba mtonyo.
Nikashangaa nikahoji kivipi, akaongeza oya bro si nimekubeba nadai hela yangu bro.
Nikaongea nae kistaraabu, unakumbuka ulivyokuwa unanipigia honi alafu sijakuita kwahiyo mi najua umenisaidia tu.
Wakat anataka kushuka ikaja gari nikaingia ikaondoka.
Bodaboda mnakera sana na fujo zenu.
Bodaboda wana tabia za ajabu sana sijui kwanini.
Unaweza ukawa unatembea unashangaa wanakupigia honi.
Au upo njiani unatembea unashangaa boda huyu hapa "oya braza wapi" sasa nabaki najiuliza ina maana mimi sijui napokwenda au?
Leo nimeshuka kwenye gari akaja boda na pikipiki yake akanambia bro twenzetu kanikomalia kweli kweli, honi kibaoo nikamuuliza unajua napokwenda "akanambia we panda nikupeleke hadi ndani.
Nikaamua kupanda muda huo nishajipigia K Vant moja kichwa cheupeee. Tukaenda tumefika maeneo nikamwambia tayari nishushe. Nimeshuka tu akaomba mtonyo.
Nikashangaa nikahoji kivipi, akaongeza oya bro si nimekubeba nadai hela yangu bro.
Nikaongea nae kistaraabu, unakumbuka ulivyokuwa unanipigia honi alafu sijakuita kwahiyo mi najua umenisaidia tu.
Wakat anataka kushuka ikaja gari nikaingia ikaondoka.
Bodaboda mnakera sana na fujo zenu.