Waenda guest wana changamoto ya afya ya akili

Waenda guest wana changamoto ya afya ya akili

Miongoni Mwaa Dalili za Changamoto Ya Afya ya Akili Ni

1.kwenda Nyumba za wageni Wakati wewe Ni Mwenyeji.

2.Kutuma Na Ya Kutolea Ili Aje Uyo Unaekutana nae.

3.Kulalia Mashuka Ambayo Wengine Wameyatumia Na Kumwaga Uchafu wao.

4.Kujifutia Taulo Usoni Ambalo Wengine Wamejifutia Kwenye Makalio.
Kuandika haya n uthibitisho una matatizo ya akili pia
 
Unaweza kukuta muandishi wa maneno haya anavaa nguo ya mtumba.
Akiumwa na kulazwa hospital anatumia shuka za hospital.
Tofauti yake na shuka za guest house hapo nini?
1)kwani Chief Wewe Ukinunua Mtumba Hua Unavaa Hivyo Hivyo Bila kuurejea Kuusafisha?

2)Hoja yako Ya pili ni Irrelevant Kwasababu Shuka za Hospital Hazitumiki Kufanyia ngono kwahiyo Uwezi linganisha uchafu wa Wagonjwa na Wa ngono.
 
Unaweza kukuta muandishi wa maneno haya anavaa nguo ya mtumba.
Akiumwa na kulazwa hospital anatumia shuka za hospital.
Tofauti yake na shuka za guest house hapo nini?
Mkuu Ni kweli Navaa Mitumba kwasababu ndio nguo zetu Sisi ambao umri Umesogea,Ila nikiutoa Dukani kuurejea kuusafisha ni Lazima.
 
Hamissi kataa kubali una changamoto za kiuanaume.

Hizi sababu ulizotoa ni ushahidi kabisa una upungufu katika kundi la kinababa

Na hii picha uliyotuwekea profile ni wewe? Basi umetuonesha where you belong. Na nyusi umetinda mkuu? Ukapaka na eye shedo?
 
1)kwani Chief Wewe Ukinunua Mtumba Hua Unavaa Hivyo Hivyo Bila kuurejea Kuusafisha?

2)Hoja yako Ya pili ni Irrelevant Kwasababu Shuka za Hospital Hazitumiki Kufanyia ngono kwahiyo Uwezi linganisha uchafu wa Wagonjwa na Wa ngono.
Nani kakuambia shuka za guest house hazifuliwi?
Uchafu wa ngono una nini na wa wagonjwa una nini?
Zingatia shuka zote hizo zinafuliwa.
Hakuna guest house ambayo shuka zimechafuliwa manii na ute wa wateja zinaachea na huo uchafu wanawekewa wwatej wengine.
Labda ya huko kwenu.
 
1. SIENDAGI GUEST HOUSE SEHEMU AMBAYO NI MWENYEJI, KAMA NAKAA KIGAMBONI NTAENDA MBAGALA.

2. HUA SITUMI NAULI, NAMBOLTIA ANANIPAKILIA MZIGO WANGU ANANILETEA HADI LOCATION

3. MASHUKA HUA YANALETWA MASAFI MEUPE YANATANDIKWA KITANDANI NIKIWA NAONA.

4. NIKIMALZA MAMBO YANGU KUNA KANGA HuA TUNAENDA NAYO KWA AJILI YA KUJIFUTIA, TAULO HUA NALITUMIA KUFUTIA RABA YANGU.
 
Miongoni Mwaa Dalili za Changamoto Ya Afya ya Akili Ni

1.kwenda Nyumba za wageni Wakati wewe Ni Mwenyeji.

2.Kutuma Na Ya Kutolea Ili Aje Uyo Unaekutana nae.

3.Kulalia Mashuka Ambayo Wengine Wameyatumia Na Kumwaga Uchafu wao.

4.Kujifutia Taulo Usoni Ambalo Wengine Wamejifutia Kwenye Makalio.
Ila wewe unayevaa nguo za mtumba una akili sana!
 
Back
Top Bottom