Johnson2012
Member
- Jan 27, 2012
- 93
- 11
wakuu mnaweza kunifafanulia eti inakuwaje wadhungu wengi duniani wanatumia mikono ya kusho?waafrika wanaotumia ya kushoto ni wachache ukilinganisha na weupe
wazungu wapi?
Hata baada ya nanihii wale wanaokuja si wanaitwa wazungu siku hizi?
Kwani wale wanakuaga na mikono..
Wana mikono, miguu na mkia. Ndo maana wana uwezo wa kuogelea kweye **_** mpaka wanafika kurutubisha yai!
hii sredi inayumbayumba..