wadhungu

Johnson2012

Member
Jan 27, 2012
93
11
wakuu mnaweza kunifafanulia eti inakuwaje wadhungu wengi duniani wanatumia mikono ya kusho?waafrika wanaotumia ya kushoto ni wachache ukilinganisha na weupe
 
Sababu ni wajukuu wa shetani.

Wa Africa ni wajukuu wa Adam. Kwani hufahamu kuwa mwanadamu wa kwanza na ustaarabu ulianzia Africa. Sasa kama unataka kufilisi utamaduni wako, hiyo ni hasara kwako.

Wacha kujifananisha na WADHUNGU. Unaonyesha jinsi gani umefilisika ki fikra. Kwani wewe ni Mtumwa?:shock:
 
wazungu wapi?
Hata baada ya nanihii wale wanaokuja si wanaitwa wazungu siku hizi?
 
Wazungu Kulingana na utamaduni wao tangu wakiwa watoto hufundishwa kutumia mikono yote. Mwafrika ukitumia mkono wa kushoto enzi za utoto ilikuwa mwiko/ haikuruhusiwa.
 
Back
Top Bottom