CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Kufuatia Klabu ya Simba kukubwa na mgogoro mkubwa huku mwenyekiti wake mh Ismail Aden Rage aka TUTU VENGERE akiigomea TFF kuitisha mkutano wa kutafuta suluhu,leo wadhamini wa klabu hiyo wametangaza kujiondoa kuidhamini klabu hiyo kwa kusema kwamba wao wanadhamini mpira na siyo ngumi.
Wakati huo huo rais wa TFF mh J Malinzi ametangaza kwamba kutakua na kikao cha kamati ya utendaji siku ya tar 22.dec.013 kikiwa na lengo la kujadili vurugu zinazoendelea ktk klabu ya Simba.
Naomba kuwasilisha.
Wakati huo huo rais wa TFF mh J Malinzi ametangaza kwamba kutakua na kikao cha kamati ya utendaji siku ya tar 22.dec.013 kikiwa na lengo la kujadili vurugu zinazoendelea ktk klabu ya Simba.
Naomba kuwasilisha.