Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Nafahamu fika wengi wenu mtanishambulia, nafahamu hili na nitajibu hoja zenu. Kweli hii ni Forum ya MMU, so mijadala abt mapenz, mahusiano na urafiki yana nafasi kubwa humu zaidi ya popote ndani ya Jf. watu wamekua wakitoa ushauri, kuelezea experiences zao ktk mapenzi na wengine wamekua wakipokea ushauri humu. Kinachonikera kila mtu humu huomba ushauri, hakuna ambaye huandika thread pasipo kutaka ushauri, hapo ndipo nafikia kuwataka wenzangu wanaJF-MMU wkt mwingine tuwe serious, kuna mengi ya kuandika humu zaidi ya kutaka ushauri. waweza toa story km ilivyo then sisi tukajifunza kitu wenyewe pasipo mtoa mada kuomba ushauri. Kuna mambo mengine nje ya MMU yanaendelea cjui km wadau wa MMU twatambua. Nawasiwas kuna watu humu hawana habari abt bajeti bt wanawaza kuomba ushauri wa mapenzi, mbaya zaid wengine hujitungia story za uongo. Jamani wkt mwingine tuwe serious... Asanteni.