Habarini wadau!
Moja kwa moja kwenye mada kama ilivyo hapo juu;
Mume akihisi imelazimu kutalikiana na mke ambaye ni mjamzito, utaratibu ukoje (ukiwa una ujuzi wa maarifa ya kidini ya Kiislamu itapendeza zaidi)
Ahsanteni!
Korona ipo, tufanye alichoagiza mheshimiwa Raisi!
Moja kwa moja kwenye mada kama ilivyo hapo juu;
Mume akihisi imelazimu kutalikiana na mke ambaye ni mjamzito, utaratibu ukoje (ukiwa una ujuzi wa maarifa ya kidini ya Kiislamu itapendeza zaidi)
Ahsanteni!
Korona ipo, tufanye alichoagiza mheshimiwa Raisi!