Wadau mwendo gani mzuri safarini nisitumie mafuta mengi

Binafsi nimetoka Dar hadi Mbeya na Vitz RS bila shida. Niliweka RPM 2000 hadi 2500 muda wote wa safari na speed ilikuwa ni 80-100 free zone ila heshima vibao vyote vya 50 nikawa natembea 45.
Upande wa mafuta nilitoka na full tank hadi moro ilikuwa imekata bar moja tu kwenye gauge. Pale nilijaza ya 25000 ikawa full tena hapo nikatembea hadi Mafinga ndio nikaweka ya 30000. Hapo hadi nimeingia Mbeya though diversion zile nilitumia mafuta mengi kidogo ila hadi nafika Mbeya mafuta yalikuwa ni ya 125000 tu na mwendo salama kabisa.
So kwa wewe naona mafuta ya laki na 70 utafika salama tu
 
Dereva aliyejifunza gari akaelewa vizuri hawezi kuuliza swali la aina hii.inaonekana mwenzetu anahitaji kwenda NIT ili aweze kupata competency.
 
Samahani kama nitakukosea muuliza swali maana naona umeweka concern kwenye mafuta tu..ilhali mwendo pia unaweza kuharibu gari lako mfano ukatembea na 50kph kwa zaidi ya saa nzima ujue gari yako itakua haivuki gear no.3 matokeo yake gearbox itakuwa inaumia sana...kwa maoni yangu speed yako iangalie zaidi hali ya barabara ,sheria za usalama barabarani na usalama wako na gari yako..yaani kwenye kibao cha 30 tembea below 30 kwenye 80 exclusive kanyaga mafuta kulingana na uwezo wako wa kulimudu gari lako...but pia kama huna uzoefu sana Fanya timing ya mabasi ya mwanza uongozane nayo yatakusaidia kujibalance
 
Samahani kama nitakukosea muuliza swali maana naona umeweka concern kwenye mafuta tu..ilhali mwendo pia unaweza kuharibu gari lako mfano ukatembea na 50kph kwa zaidi ya saa nzima ujue gari yako itakua haivuki gear no.3 matokeo yake gearbox itakuwa inaumia sana...kwa maoni yangu speed yako iangalie zaidi hali ya barabara ,sheria za usalama barabarani na usalama wako na gari yako..yaani kwenye kibao cha 30 tembea below 30 kwenye 80 exclusive kanyaga mafuta kulingana na uwezo wako wa kulimudu gari lako...but pia kama huna uzoefu sana Fanya timing ya mabasi ya mwanza uongozane nayo yatakusaidia kujibalance
Nimependa sana ushauri wako mkuu! Japo hayo mabasi ukiongozana nayo yanakuwa na vurugu flani za kijinga kama vile horn za kijinga na kuovertake bila kuzingatia usalama. Unakuta anaovertake halafu akiwa nusu ya bodi lake anakurudishia, so usipojiongeza anakusukumia nje ya barabara hivi hivi...
 
80km/hr hadi 100km per hr n
i mzuri mm Gari yangu ni cc1600 nkaweka Mafuta ya Elfu 80 kutoka Dar nkatoboa mpaka Dodoma then Dodoma nkaweka ya 130 nkatoboa mpk Mwanza
Na Yakabaki Mafuta meng nikapiga Misele sana
 
80km/hr hadi 100km per hr n
i mzuri mm Gari yangu ni cc1600 nkaweka Mafuta ya Elfu 80 kutoka Dar nkatoboa mpaka Dodoma then Dodoma nkaweka ya 130 nkatoboa mpk Mwanza
Na Yakabaki Mafuta meng nikapiga Misele sana
Ungesema ulitumia lita ngapi ingekuwa vizuri zaidi. Tofauti na ukisema ulitumia mafuta ya 80,000..manake bei za mafuta kila siku zinabadilika na hatujui ulinunua lita kwa kiasi gani.
 
80km/hr hadi 100km per hr n
i mzuri mm Gari yangu ni cc1600 nkaweka Mafuta ya Elfu 80 kutoka Dar nkatoboa mpaka Dodoma then Dodoma nkaweka ya 130 nkatoboa mpk Mwanza
Na Yakabaki Mafuta meng nikapiga Misele sana
Mkuu mafuta ya shs.80,000 ndio lita ngapi? Umeyanunua wapi? Je ulipofika Dodoma uliweka ya shs ngapi?
 
Niliweka pale Luguruni.... Karibu na chuo cha st. Joseph ni kama Lita 40 na points coz nimesafiri mwezi wa 2
 
kuendesha taratibu kupita kiasi ni kosa kisheria mfano maeneo ambayo gari zipo more than 70kph we uko na 40 katikati ya barahara pia ni kosa pia ..

BUT

gari nyingi at 80kph zinatumia mafuta kidogo kuliko spid yeyote ile ukizid mafuta yanazid pia ukipunguza mafuta yanazidi

weka 80 ufurahie maisha ila utalala njiani au kufika usiku wa manane
80-100km/hr ni reasonable speed. Ila mtu aliezoea kuendesha Mbezi-City center , safari ndefu si jambo jepesi. Inahitaji akili iliyotulia, road lazima uendeshe defensively na sio kutegemea wa mbele atafanya hivi au vile.
 
Nilienda Iringa toka Dar kwa IST 1.3L nilitumia mafuta ya elfu 40 tu.

Nilichojifunza, uendeshaji unakula sana mafuta tusizingizie gari.

Vitu vya kufanya:

1. Kwanza funga madirisha washa AC acha uwoga.
2. Usiwe na vituo vingi. Kwa 2.0L may be pumzika after every 400km.
3. Acceleration iwe ndogo. Usiondoke kwa vurugu. Yaani acha gari ichanganyie taratibu.
4. Speed nenda 80 to 110kph. Ila kwenye vibao vya 50kph viheshimu. Speed chini ya 80 inakula mafuta na above 120 inabwia mafuta unless una LC V8 4.6L
5. Ila kikubwa ni kua na light-foot. Usiwe na mguu mzito. I mean usikanyage mafuta kama vita. Gusa tu.
IST yako inatembea 1 ltr = 20 km?
Mafuta ya 40,000 Dar - Iringa?
Ntakuwa wa mwisho kuamini.
 
Dereva aliyejifunza gari akaelewa vizuri hawezi kuuliza swali la aina hii.inaonekana mwenzetu anahitaji kwenda NIT ili aweze kupata competency.
Hana hela ya NIT. Wewe uliyeweza kupita huko tufundishe nasi pia tusio na uwezo wa kwenda NIT uliyoenda wewe
 
Ila kumbuka tu kwamba kama ni mara yako ya kwanza kusafiri kwa umbali huo tafuta na mtu pemben wa kukisaidia japo kwa sisi wazoefu haitusumbui japo mwanzo ilitusumbua,,kitakachoweza kutokea unaweza kuchoka na upo mwnyewe ukasinzia ukapiga dafraaaau,pili kilometa 100 kwa saa na dk 20 itakua speed nzur maana mwanza sio pakitoto hasa ukitokea dar....
 
Back
Top Bottom