Wadau iyokoeni hii couple !

Wadau iyokoeni hii couple !

Judgement

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2011
Posts
10,326
Reaction score
4,787
Bwana Karabi alifunga ndoa na Bi. Kezia , hivi majuzi .
Katika hali isiyo ya kawaida wanandoa hao jana wameamua kuachana.
Pakalazimika kuitishwa kikao miongoni mwa wanafamilia toka pande zao mbili including wazee maarufu wa jirani.
Kikao kikawa hivi :-
> Kwa pamoja Jopo likaanza kwa kuwataka Bibi na Bwana , kila mmoja aanze kwa kutaja sababu kuu ya kufikia maamuzi yale !

> Bi Kezia :-
" Mimi nilifikiri ningekuta kitu kama hiki -
=============>
Matokeo yake nikakuta hivi -
===>"

> "Bw. Karabi :-
"Wazee wangu na mie nilitegemea nikute hivi -
(-----)
Badala yake nikakuta hivi -
(-----------------)

Magreti sinka kesi hii tuiamuaje?
 
Mh wote hawajatulia haiwezekani mpaka size ujue
 
wao waachane tu bana.....a a....



Hapo ndio napokupendeaga Preta hurembi,na mimi siku zote nawaambiaga humu ni vyema kutesti ujue kabisa ngoma unayoenda kuicheza,kuna mmoja aliwahi kujitangaza humu kuwa yeye ana nchi 18 sasa sijui wa hivyo ukikutana naye utavunja ndoa siku ya pili au.... Kwa ushauri wangu hao wanandoa waachane tu na wakilazimisha kuendelea katika ndoa hiyo wajue kabisa kina Paka Mweusi tupo na hatutokuwa nyuma katika kuwasaidia...
 
Hapo ni kujaribu kuwa shauri kuwa hata wakiacha ni vigumu kupata mtu aliye kamilika ni vyema kila mtu akakubali mapungufu ya mwezie!
 
Hapo ndio napokupendeaga Preta hurembi,na mimi siku zote nawaambiaga humu ni vyema kutesti ujue kabisa ngoma unayoenda kuicheza,kuna mmoja aliwahi kujitangaza humu kuwa yeye ana nchi 18 sasa sijui wa hivyo ukikutana naye utavunja ndoa siku ya pili au.... Kwa ushauri wangu hao wanandoa waachane tu na wakilazimisha kuendelea katika ndoa hiyo wajue kabisa kina Paka Mweusi tupo na hatutokuwa nyuma katika kuwasaidia...

Ndiyo kusema mtakatifu unajiamini unamiliki "kitu ya adabu"
kwa maneno mengine "umejaaliwa" kitu kipo!
Au ?
 
Ndiyo kusema mtakatifu unajiamini unamiliki "kitu ya adabu"
kwa maneno mengine "umejaaliwa" kitu kipo!
Au ?



Mkuu sijasema hivyo na sitowezasema hivyo,kwani ni nani asiyeogopa kukikmbiwa na warembo.....hahahahahah
 
zipo dawa za mchina kwenye famasi yangu, kupunguza size ya kike na kurefusha na kuongeza ukubwa wa ya kiume, wani pm
 
hahaha si bora huyo alikuta ndogo lakini inasimama ku mwenzake alikuta kubwaa akaanza kushangilia mumewe akamwambia kubwa lakini halisimami...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom