Wadau Idadi ya aliowaua Clement Mabina ni 4

Mkubwa Lukosi!
Leo naona uko 'vizuri' ebu leo tueleze ukweli kuhusu ile rambi-rambi, nasikia uko ulichangisha £12,500/ lakini wewe ulicho wasilisha ni amount 'kiduchu' weka sawa mahesabu ya ile rambi-rambi iliyo wasilisha Iringa!
Ni msigwa alienipoteza
 
Ni msigwa alienipoteza
Ebu iweke vizuri, sisi wengine ni wageni humu jamvini, unajua haya maandishi ya 'keyboard' ni mabaya na yana madhara zaidi ya bomu la nuclear, tunaona wanajamvi wanakutuhumu usiku na mchana kuhusu ile rambi-rambi, ebu leo iweke vizuri hii maneno!
 
Hii ishu inasikistisha sana

Kama ni kweli, basi adhabu aliyopata alistahili.

Huyu ni nani hapa chini?

Ndugu zanguni

Jana wote hapa tuliona taarifa ya mauaji yaliyotokea huko mwanza ya aliekuwa mwenyekiti wa ccm.

Ninajua kila binadamu ana mapungufu yake na ikitokea hasira kwa mwanadamu anaweza fanya lolote na inaweza kuwa hasira zimesababishwa na upande wowote kati ya marehemu au wananchi.

Nguvu ya umma ni kuuana ?

Tuache masuala ya upelelezi kwa polisi na ninawasihi ndugu zangu huko tunakoelekea ni kubaya, hata kama una chuki na mtu ni vyema ukakaa kimya kuliko kuandika maneno ambayo hayatajenga hapa zaidi ya kubomoa

MODS, NAOMBA MUWE MNAPIGA BAN MTU ANAYETOA COMMENTS ZENYE UCHOCHEZI KWA JAMII

JITAMBUE!

Upigwe BAN?
 
Swali je ? Mabina alikuwa na nani wakati wa tukio?hakuwa na wapambe ?

Kuhusu Hilo ntakupa tarifa,ila kumbuka hata Kama angekuwa na wapambe,nguvu ya wananchi ni noma,afu silaha Yao kubwa ilikuwa mawe
 
Wee Mheheh bana, au kwa sababu alikuwa Msukuma? Poa Mtani wetu, ujumbe umefika.

Nitahakikisha tunakula sahani moja na wewe so longer siyo ki-MAGA DOG.

dog-dinosaur_780947i.jpg


Peter Tosh - maga dog - YouTube
Hii ishu inasikistisha sana

Kama ni kweli, basi adhabu aliyopata alistahili.
 
Hii ishu inasikistisha sana

Kama ni kweli, basi adhabu aliyopata alistahili.
hapa Lukosi nakuunga mkono bana,chama chenu kina wengi wa namna hii,namkumbuka Ditopile Mzuzuli yule aliemuua dereva wa daladala na baadae akafia Moro!
 
Hili la Mzee Mabina nami nimesinyaa,niko na washkaji kutoka Zim nashindwa hata kuwaelezea.Siunajua tena Mzee alikuwa mtu mzito kwenye ile chama ya munene ku tanzanie
 
Hii ishu inasikistisha sana

Kama ni kweli, basi adhabu aliyopata alistahili.
kwa hiyo rambi rambi ulizo changisha kwaa ajili ya mabina itabidi uzile zote usipeleke hata cent moja....ila ulikosea sana kula rambi rambi za Mrs mwangosi. Maana umejipa laana kubwa mno
 
Back
Top Bottom