Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Hii inanikumbusha kauli ya Dr. Kitila alipokuwa akisisitiza jambo (siku ya Kongamano la Wanafunzi - MAbibo) na kutamka neno 'zuzu'
Sikutarajia mtu mwenye hadhi ya Mtikila kuamini CCM na taasisi zake wanaweza kuongea jambo mtu mwenye akili sawasawa akaliamini.
Ni zuzu tu anaweza kuwaamini CCM na kauli zao
Sikutarajia mtu mwenye hadhi ya Mtikila kuamini CCM na taasisi zake wanaweza kuongea jambo mtu mwenye akili sawasawa akaliamini.
Ni zuzu tu anaweza kuwaamini CCM na kauli zao