Wadada wenye vitambi wanaboa

Wadau,

Nowdays vitambi vimekosea njia kabisa, yaani dada zetu wamebeba balaa, kutana na mdada nyuma flat alafu mbele kitambi kah! ila kuna wengine wenye vitambi vidogo dogo, vimetengeneza ka slope, hao burudani wanapendeza.

Sijui ni mimi peke yangu.


mama yako hana kitambi???????.
 
Kama una mwanamke mwenye kitambi na hukipendi na umeshindwa kukiondoa


YOU HAVE FAILED AS A MAN
 
Yani kuna mtu anavoniomba kukidhibiti maana ndo kinaanza hana amani.Sijui nifanyeje kisishamiri.
 
nyuma sitikisiki hata mbele ishindikane .. loh

japo kiukweli havipendezi kabisa ila hata sisi hatupendi vinakuja byenyewe baby asubuhi kaninunulia mtori na chapati moja/... mchana kukulabda chips au wali.. jioni nyama choma tena nakula saa nne usiku na kabia juuu uwiiiii lazima tu kije

we mtoto! mbona unawadanganya mabinti wa watu wakati wewe mwenyewe mbele ni flat!
 
Kitambi kwa Mwanamke ( Msichana0 siyo Deal Kabisa; Ila kama Ulivyosema Kuna Kigine Kinapendeza Kidezini lakini hiki ni Lazima Huku Nyuma Pawepo na Mbinuko Kusupport body. Siyo Siri Kitambi Ni Bundi Kikiwa kwa Mwanamke anayesanya sanya.

Nadhani kitambi ni kunguru kikiwa kwa mwanamme..anyway kwa nini kitambi cha mwanamke kukuboe? si anacho yeye?
 
Vingine vya asili jamani tangu mtoto kitambi kipo Leo hii nakitoaje......as far am comfortable with my body that's your own problem
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom