Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,774
- 3,460
Niende moja kwa moja kwenye maada...
Mdada unapelekwa kwenye chumba kizuri haujawahi kuingia tangu kuzaliwa kwako humo mwisho wako ni viguest vumbi vilivyopo vichochoroni halafu unaleta mashauzi.
Kitu unachotakiwa kuuliza "baby kuna sehemu ya kupata chakula cha usiku karibu hapa?" Lakini unajitutumua na usomi wako eti unamuuliza mwanaume rijali kwamba eti umeijua vipi hii guest? Hili ni swali la uchochezi jirekebisheni.
We unafikiri ni mwanaume gani atakaekujibu swali la kipuuzi kama hilo? Afadhali umuulize kipofu kapajua vipi na sio mwenye macho mawili.. Ikiwa umefikishwa hauna cha kuongea basi kaa kimya.
Na isitoshe kuna na hili eti anakuuliza hivi hapa umeshakuja mara ngapi? Kwani unataka kuniekea bili niendelee kuja?
Na lingine... Mmefika kunako eti dem anakwambia ngoja tupige stori japo kidogo, umeambiwa humo ni kibanda cha kahawa nyambafuu.
Leo naishia hapo kesho nikiamka salama nitakuja na lingine.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mdada unapelekwa kwenye chumba kizuri haujawahi kuingia tangu kuzaliwa kwako humo mwisho wako ni viguest vumbi vilivyopo vichochoroni halafu unaleta mashauzi.
Kitu unachotakiwa kuuliza "baby kuna sehemu ya kupata chakula cha usiku karibu hapa?" Lakini unajitutumua na usomi wako eti unamuuliza mwanaume rijali kwamba eti umeijua vipi hii guest? Hili ni swali la uchochezi jirekebisheni.
We unafikiri ni mwanaume gani atakaekujibu swali la kipuuzi kama hilo? Afadhali umuulize kipofu kapajua vipi na sio mwenye macho mawili.. Ikiwa umefikishwa hauna cha kuongea basi kaa kimya.
Na isitoshe kuna na hili eti anakuuliza hivi hapa umeshakuja mara ngapi? Kwani unataka kuniekea bili niendelee kuja?
Na lingine... Mmefika kunako eti dem anakwambia ngoja tupige stori japo kidogo, umeambiwa humo ni kibanda cha kahawa nyambafuu.
Leo naishia hapo kesho nikiamka salama nitakuja na lingine.
Sent using Jamii Forums mobile app