Dallas green
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 1,509
- 3,040
Kabisa mkuu awe anatoa ela ya mboga basiKama demu anazalisha mchele kama bonde la Usangu mwamba atafute mboga tu
Kabisa mkuu awe anatoa ela ya mboga basiKama demu anazalisha mchele kama bonde la Usangu mwamba atafute mboga tu
Tuambie wewe hali inakuwaje mkuu. Mm naona jamaa kasema ukweli lakini unamkatalia sijui wewe labda ni mgeni wa nyap au nini.Wewe jamaa ni mgeni wa nyapu na ni lijinga mno na inaonekana upo kwenye barehe wewe sio bure![]()
Hao wengi unataka kuvumbua nini? Watu kama nyie ndo mna matatizoJamaa yangu alikuja kwangu akilalamika na kuniambia “Unamkumbuka Jessy yule mwanamke niliyekuambia,aisee ni mwanamke wa ajabu Sana Kati ya wanawake wote niliowahi date nao yeye ni WA tofauti sana”
Nikamuuliza WA tofauti ana nini Cha tofauti??Akaanza kusema “Kati ya wanawake wote niliowahi kutana nao kwenye SITA Kwa SITA huyo nashangaa muda wa mzagamuano hatokwi na vimchele chele vyeupe atakuwa wa ajabu”
Nilichokuja kugundua jamaa kakutana na Wanawake wengi ambao hawajisafishi vizuri maeneo husika kiasi kwamba ameona ni hali ya kawaida.
Nipende tu kusema wanawake wajitahidi kujisafisha.
Feminine wash yeyote pasipokuzingatia brand, ni mbadala wa sabuni.Dr. Vipi kuhusu kutumia lactomate feminine wash?🙂
NAKAZIAKabisa mkuu awe anatoa ela ya mboga basi
Tunatafuta vimchele mkuuHao wengi unataka kuvumbua nini? Watu kama nyie ndo mna matatizo
Inategemea na aina ya wanawake mnao date nao aisee binafsi i never experienced this. Mwanamke mchafu anaonekana tu kwa nje, matendo, kujipenda etc....unategemea nn mwanamke unaona kbs lastick ya chupi chafu..... mashanga machafu....Jamaa yangu alikuja kwangu akilalamika na kuniambia “Unamkumbuka Jessy yule mwanamke niliyekuambia,aisee ni mwanamke wa ajabu Sana Kati ya wanawake wote niliowahi date nao yeye ni WA tofauti sana”
Nikamuuliza WA tofauti ana nini Cha tofauti??Akaanza kusema “Kati ya wanawake wote niliowahi kutana nao kwenye SITA Kwa SITA huyo nashangaa muda wa mzagamuano hatokwi na vimchele chele vyeupe atakuwa wa ajabu”
Nilichokuja kugundua jamaa kakutana na Wanawake wengi ambao hawajisafishi vizuri maeneo husika kiasi kwamba ameona ni hali ya kawaida.
Nipende tu kusema wanawake wajitahidi kujisafisha.
Mchele jamani kama mmeamua kututukana sawa, how come mtu awe na mchele?Mna mchele sasa wanaume tupunguze pesa za matumizi awa wana michele
Madam,Kwani umewalala wangapi kugundua Hilo?acha uzinz tutakufukia soon
AsanteFeminine wash yeyote pasipokuzingatia brand, ni mbadala wa sabuni.
Kwamba sabuni ni kali sana kupaoshea huko kwa bibi. Hivyo wakatengeneza hizo feminine wash.
Ambapo nazo zina kemikali vile vile. Matumizi yake yanaondoa uasili wa bakteria rafiki ukeni. Japo matumizi ya mara moja moja si mbaya. Si kwa matumizi ya kila leo.
Maji masafi yanatosha kabisa. Labda kama mhusika kaenda kukitombesha huko, basi kamwagiwa mishahawa tele. Anaweza kurudi akatumia hiyo feminine wash mara moja kwa siku mbili labda.
Ukijizoesha kutumia hayo makemikali (hata watakazosema 100% chemical free), lazima tu utaharibu. Maji yanatosha kabisa. Kama hayatoshi kunafuta kufunda, basi unaumwa. Tafuta tiba.
Ndo mjue mnatofautiana ladha kuna wenye mchele, wasio nao, na wenaofinya na wasiofinya sasa wene mchele na wanaofinya ndo watamMchele jamani kama mmeamua kututukana sawa, how come mtu awe na mchele?
Mtavipata vipo vya kumwaga😀Tunatafuta vimchele mkuu
Eeeeh new knowledgeJamaa yako anaongelea utoko.huo humtoka mwanamke yeyote na sio ugonjwa.na hii huwatokea ambao hawafanyi mapenzi Kwa mda mrefu.
Viko kama vichembechembe vya mtindi havina harufu mbaya.ni asili ya uke.
Kuna wakati wanawake hukumbana navyo kama mabadiliko mwilini ndiposa hutakuwa kujisafisha na kidole kupunguza.
Na Kuna wakati huuoni kabisa ila ukifanya mapenzi unaanza kutoka japo kidogo sana.hiyo ni dalili huyo hajafanya Kwa mda mrefu.
Na Kuna hao Sasa unaowatokaa Kwa awamu Fulani Kwa wingi wasipojisafisha wakikutana na mwanaume anaweza ingiza akitoa mashine inakuwa nyeupee kama imepakwa maziwa ya mtindi.sio sawa.
Na Kuna wengine ni wagonjwa mfano candidiasis,maambukizi mengineyo.hawa huwa baadhi Wana harufu pia kuwashwa.
Wanaume mna safari ndefu kuwaelewa wanawake!

Katika comments zote ,wewe ndio umeongea ukweli kabisa huwenda huyo kijana nimgeni na nyapu.Jamaa yako anaongelea utoko.huo humtoka mwanamke yeyote na sio ugonjwa.na hii huwatokea ambao hawafanyi mapenzi Kwa mda mrefu.
Viko kama vichembechembe vya mtindi havina harufu mbaya.ni asili ya uke.
Kuna wakati wanawake hukumbana navyo kama mabadiliko mwilini ndiposa hutakuwa kujisafisha na kidole kupunguza.
Na Kuna wakati huuoni kabisa ila ukifanya mapenzi unaanza kutoka japo kidogo sana.hiyo ni dalili huyo hajafanya Kwa mda mrefu.
Na Kuna hao Sasa unaowatokaa Kwa awamu Fulani Kwa wingi wasipojisafisha wakikutana na mwanaume anaweza ingiza akitoa mashine inakuwa nyeupee kama imepakwa maziwa ya mtindi.sio sawa.
Na Kuna wengine ni wagonjwa mfano candidiasis,maambukizi mengineyo.hawa huwa baadhi Wana harufu pia kuwashwa.
Wanaume mna safari ndefu kuwaelewa wanawake!
Umetisha dyadya mwenye glass zake...helpful indeedJamaa yako anaongelea utoko.huo humtoka mwanamke yeyote na sio ugonjwa.na hii huwatokea ambao hawafanyi mapenzi Kwa mda mrefu.
Viko kama vichembechembe vya mtindi havina harufu mbaya.ni asili ya uke.
Kuna wakati wanawake hukumbana navyo kama mabadiliko mwilini ndiposa hutakuwa kujisafisha na kidole kupunguza.
Na Kuna wakati huuoni kabisa ila ukifanya mapenzi unaanza kutoka japo kidogo sana.hiyo ni dalili huyo hajafanya Kwa mda mrefu.
Na Kuna hao Sasa unaowatokaa Kwa awamu Fulani Kwa wingi wasipojisafisha wakikutana na mwanaume anaweza ingiza akitoa mashine inakuwa nyeupee kama imepakwa maziwa ya mtindi.sio sawa.
Na Kuna wengine ni wagonjwa mfano candidiasis,maambukizi mengineyo.hawa huwa baadhi Wana harufu pia kuwashwa.
Wanaume mna safari ndefu kuwaelewa wanawake!