Afisa Mteule Drj 2
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 3,961
- 4,661
Kwahiyo tuanze kuvuna mchele
😂😂😂😂kumbe kuna michele na hamsemi kha😂
Labda atakuwa mgeni.pia msisjtizeni ajiongeze kusoma mambo yahusuyo wanawake.tuna mambo mengi sisi,mabadiliko mengi.Katika comments zote ,wewe ndio umeongea ukweli kabisa huwenda huyo kijana nimgeni na nyapu.
Asante dearUmetisha dyadya mwenye glass zake...helpful indeed
Hao watoto hawajui kitu.Mchele jamani kama mmeamua kututukana sawa, how come mtu awe na mchele?
Ahaa ute ute ndiyo wanaita mchele?, amezingua sana huyu.Hao watoto hawajui kitu.
Huo ni ute wa kawaida kwenye K.
Kama unatoa harufu na rangi nzito ya njano au kahawia au Kuna maumivu au muwasho basi huyo manzi ni mgonjwa.
Ila Ute mweupe au angavu ni kawaida tu kutegemeana na siku za fertility n.k.
Waambie wakajifunze vizuri Billing's ovulation method.
Kuelewa uchafu wa wanawake labda ila sio kuelewa wanawake. Wanawake tunawaelewa vizuri tu wengi wetu.Jamaa yako anaongelea utoko.huo humtoka mwanamke yeyote na sio ugonjwa.na hii huwatokea ambao hawafanyi mapenzi Kwa mda mrefu.
Viko kama vichembechembe vya mtindi havina harufu mbaya.ni asili ya uke.
Kuna wakati wanawake hukumbana navyo kama mabadiliko mwilini ndiposa hutakuwa kujisafisha na kidole kupunguza.
Na Kuna wakati huuoni kabisa ila ukifanya mapenzi unaanza kutoka japo kidogo sana.hiyo ni dalili huyo hajafanya Kwa mda mrefu.
Na Kuna hao Sasa unaowatokaa Kwa awamu Fulani Kwa wingi wasipojisafisha wakikutana na mwanaume anaweza ingiza akitoa mashine inakuwa nyeupee kama imepakwa maziwa ya mtindi.sio sawa.
Na Kuna wengine ni wagonjwa mfano candidiasis,maambukizi mengineyo.hawa huwa baadhi Wana harufu pia kuwashwa.
Wanaume mna safari ndefu kuwaelewa wanawake!
Hao wanakuwaga na candidiasis kali sana, hahaKuna mademu ndonga inakuwa kama umechovya kwenye chokaa/white cement iliyokorogwa.
Ute mweupe unaokatika usioteleza wakati wa nyandu nyandu unakuwa kwenye mkuyenge( dushe) madogo wanaona uchafu au Ugonjwa kumbe sivyo.Ahaa ute ute ndiyo wanaita mchele?, amezingua sana huyu.
Pengine ila utakuta hakuna harufu ya ajabu kabisa!Hao wanakuwaga na candidiasis kali sana, haha
Si unaona mlivyo watotoKuelewa uchafu wa wanawake labda ila sio kuelewa wanawake. Wanawake tunawaelewa vizuri tu wengi wetu.
Vipi unao tuijie au tuweke odaMichele tena, ebu mtuache bana😃
Napenda sana hiyo CREAMPIE.mwanaume anaweza ingiza akitoa mashine inakuwa nyeupee kama imepakwa maziwa ya mtindi.