Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Wadada wazuri mna shida gani lakini?

Muimba SINGELI

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2024
Posts
4,211
Reaction score
10,840
Tajiri hasalimii.

Unakuta mtoto mkaliii halafu anatoka na mhuni yuko rafu rafu, mchafu kufuwa kipengele, kuoga hadi mvua imnyeshee, ananuka vumba saa ingine masigara bwege yanapita humo humo.

Halafu watu wa maana kama mimi Tajiri Sina BAYA tunaenda kutupa ndoano anatema.
Hivi huwa mna nini nyie wadada wa hivyo?
 
Tajiri hasalimii.

Unakuta mtoto mkaliii halafu anatoka na mhuni yuko rafu rafu, mchafu kufuwa kipengele, kuoga hadi mvua imnyeshee, ananuka vumba saa ingine masigara bwege yanapita humo humo.

Halafu watu wa maana kama mimi Tajiri Sina BAYA tunaenda kutupa ndoano anatema.
Hivi huwa mna nini nyie wadada wa hivyo?
Wananguvu nyingi za kiume 😎.
 
Unaweza kula tigo
Hapana mkuu, kuna mmoja aliwahi kunilengeshea nilishangaa sana. ilinisikitisha karibu machozi yanitoke, alikuwa ni mtu wangu wa karibu na sikufikiria kama anafanya huo mchezo.
Siku nikiamkia mguu wa shetani nitasimulia.

Kwahiyo kwa hawa jamaa wanafuata kifukuliwa?
 
Tajiri hasalimii.

Unakuta mtoto mkaliii halafu anatoka na mhuni yuko rafu rafu, mchafu kufuwa kipengele, kuoga hadi mvua imnyeshee, ananuka vumba saa ingine masigara bwege yanapita humo humo.

Halafu watu wa maana kama mimi Tajiri Sina BAYA tunaenda kutupa ndoano anatema.
Hivi huwa mna nini nyie wadada wa hivyo?
Wanakuwa wamepagawa na deliboloz....linawafikisha vizuri.
Anya mazoezi ya kutombering uwe mkali kwenye mechi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom