FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,374
Mtoa mada Google imegoma ku-pick picture zao tunaomba utuwekee
Leo kale ka fevareti batani ketu hutakaambulia. Nna hasira tatu na wewe.ona hapa chini, niombe radhi ya nini
Charity, kwenye blue hapo hapakwepeki
Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima. Zaburi 111.10a
Ni kweli mtumishi,ukiunganisha na signature yako mambo yatakuwa mazuri sana.
btw ,Hongera san,maana spidi yako siiwezi una award 2 na ww umejiunga February?
mweeeeeeeeeeeeee! Ikisu hiki!!!! Ndaga Kyala.nasikitika kukuambia wote hao pamoja na Bigirita wapo Jukwaa la Maria Roza na kijana mwingine Cox'something' mgeni mgeni hivi.....
KARIBUNI SANA CHELSEA-GUEST HOUSE!tupo hapa tumechukua gesti nzima nzima
Leo kale ka fevareti batani ketu hutakaambulia. Nna hasira tatu na wewe.
KARIBUNI SANA CHELSEA-GUEST HOUSE!tupo hapa tumechukua gesti nzima nzima
mweeeeeeeeeeeeee! Ikisu hiki!!!! Ndaga Kyala.
Yani mie nilizani wapo bize na maombi kumbe..........
FL1 mwenyewe kapunguza spidi.cku hizi 'no komenti'ndio maana mwenzie kachukua kombe.Yaani unampongeza kwa wizi wake?
mweeeeeeeeeeeeee! Ikisu hiki!!!! Ndaga Kyala.
Yani mie nilizani wapo bize na maombi kumbe..........
Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima. Zaburi 111.10a
Ni kweli mtumishi,ukiunganisha na signature yako mambo yatakuwa mazuri sana.
btw ,Hongera san,maana spidi yako siiwezi una award 2 na ww umejiunga February?
1. Hunikumbuki 2. Hujaninunulia valuu 3. Hunimisi tena siku hizizitaje hizo hasira tuone kama zitajustifai kuninyima.......
Bado nasubiri untake radhi. Nihesabu?eeeh mamaangu ujionee mwenyewe afu naambiwa niombe radhi kwa kusema ukweli
sikjuaga ukweli nao ni kosa.......
Ukiona hivyo ujue mkoloni kabana. Huyo ICU mwizi sana. Anamwibia mkoloni wake muda. Hastahili kupewa hongera.FL1 mwenyewe kapunguza spidi.cku hizi 'no komenti'ndio maana mwenzie kachukua kombe.
ubarikiwe na Bwana Charity
ukweli hauwezi kuwa kosa....sema ukweli uwe huru daima...ujambo lkn?.....eeeh mamaangu ujionee mwenyewe afu naambiwa niombe radhi kwa kusema ukweli
sikjuaga ukweli nao ni kosa.......
Mkoloni ndi nani tena? yupo hapa JF?Ukiona hivyo ujue mkoloni kabana. Huyo ICU mwizi sana. Anamwibia mkoloni wake muda. Hastahili kupewa hongera.
jamani mbona mmeibaka hii thread!!!!!
Dah! Kweli. Ngoja nisepe.