habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,789
- 8,753
Sasa unakereka kwa sababu gan? Wadogo au DDA zako wakike wana magari
Acha kutokwa na mapovu tafuta pesa na wewe nunuwa gari lako, nani alikwambia anapenda shida? kero ya daladala nani anaitaka?
ha ha ha watoto bana raha sana.
kwenye research ya vijana waliojiajiri na kukimbiza tanzania,,,leo nimespend siku kwenye print lab ya ki2ko nimeogopa. bongo kuna watu wanapiga kazi.. jana nilikuwa glambox napo nimeogopa pia hiyo saloon..
ila kuja jamiiforums nakuta watu wanawaza mbunye tu na magari ya kuazima.
hivi nyinyi watu hamjifunzi hata kwa wenzenu wanavyopambana... umafikiri kuwaza mbunye ni sifa
ha ha ha watoto bana raha sana.
kwenye research ya vijana waliojiajiri na kukimbiza tanzania,,,leo nimespend siku kwenye print lab ya ki2ko nimeogopa. bongo kuna watu wanapiga kazi.. jana nilikuwa glambox napo nimeogopa pia hiyo saloon..
ila kuja jamiiforums nakuta watu wanawaza mbunye tu na magari ya kuazima.
hivi nyinyi watu hamjifunzi hata kwa wenzenu wanavyopambana... umafikiri kuwaza mbunye ni sifa