Wadada wa kibongo acheni hizo, mnaboa sana

Wadada wa kibongo acheni hizo, mnaboa sana

Magari ilikuwa enzi hizo bana wee...

Siku hizi wanawake magari wananunua tu...kwa hela ya jasho lao... kuanzia vanguard hadi fortuner....ikishindikana hata ki-nissan march....
 
Nimekufatilia Thread nyingi sasa naanza kuamini zile tetesi zilizozagaa kuwa wewe ni Shoga ni za kweli. Kila thread inayokosoa mademu na wewe huwa upo kuwatetea hii ni kwa sababu unashinda nao huko saloon kwenu.
Realy? serious? hivi kukashifu dada zako ndio urijali? basi consider tu mimi ni shoga lakini haunibadilishi kitu kwa kuwaza uwazavyo maana mimi Uanaume wangu hauhitaji kukamilishwa na wewe son.

Hivi unajua kama nakupendaga baba samira?
Mimi siyo kama nakuzimia tu bali nakufwa kabisaaaa. LOVE U MINGI.
Hahahah umeua
Hawa vijana bana wamezidi beef zao na wadada, akitoswa na mmoja basi imekuwa shida lakini wadada kibao sasa wanawatunza wanaume na wanawafichia siri lakini hawasemi.

Na yule mdada aliyepita kwenye mchujo wa spika Dr Ackson kama hajaolewa bado ajiandae na msururu wa mijanaume itakayokuwa inajitongozesha kwake.
 
Acha kutokwa na mapovu tafuta pesa na wewe nunuwa gari lako, nani alikwambia anapenda shida? kero ya daladala nani anaitaka?

Mkuu mbona unakuja kasi hivyo??,hoja ya mtoa mada iko poa wala haina sababu ya kutumia maneno makali kiasi hicho.JF ni sehemu ya kufurahi,kuelimishana,kutiana moyo,kubadilishana mawazo,na huk tukiongozwa na Upendo,JF tupendane kwani Mungu mwenyewe ni Upendo.
 
  • Thanks
Reactions: Art
Acha kutokwa na mapovu tafuta pesa na wewe nunuwa gari lako, nani alikwambia anapenda shida? kero ya daladala nani anaitaka?

Mbona unawasemea wadada? Au na wewe ni mmoja wa wanaokubali ili waepuke kero ya daladala?
 
Hawaii Dada ww siku hizi wanajidai wao ni 3D na high claxx........na badoo sana
 
Na ndo maaana hawaolewi anataka gar wakat hata pikipiki kwao hamna
 
Mbona unawasemea wadada? Au na wewe ni mmoja wa wanaokubali ili waepuke kero ya daladala?
Mimi nawapenda sana wadada wa kileo wanawachangamsha mabongolala mtafute pesa kwa bidii badala ya kuendekeza uvivu na ukula kulala.
Na ndo maaana hawaolewi anataka gar wakat hata pikipiki kwao hamna
Kwani kuoa au kuolewa ni lazima? kama wao hawaolewi basi na hata wanaume hawaoi hapa naona ngoma droo tu.
 
Tafuten Magar Jaman Kma Ni Kwa Ajil Ya Kunasia...Mimi Gari Yangu Ni Kma Kifaa Tuu Cha Kunirahisishia Mambo Yangu Si Ya Kunasia.
 
Mimi nawapenda sana wadada wa kileo wanawachangamsha mabongolala mtafute pesa kwa bidii badala ya kuendekeza uvivu na ukula kulala.[/QUOTE.

Naona unashirikiana nao hao kutuamsha sisi wanaume mabongolala, kula kulala. Acha sisi wanaume tuamshwe, wewe endelea kushirikiana na hao wadada kuwasaidia kuwaamsha wanaume wenzako.
 
Nimekufatilia Thread nyingi sasa naanza kuamini zile tetesi zilizozagaa kuwa wewe ni Shoga ni za kweli. Kila thread inayokosoa mademu na wewe huwa upo kuwatetea hii ni kwa sababu unashinda nao huko saloon kwenu.
Acha kufatilia mwanaume mwenzio
Shoga haongei hadharani anaongea pm
 
Nimekufatilia Thread nyingi sasa naanza kuamini zile tetesi zilizozagaa kuwa wewe ni Shoga ni za kweli. Kila thread inayokosoa mademu na wewe huwa upo kuwatetea hii ni kwa sababu unashinda nao huko saloon kwenu.

Duuuuh
Imebidi nicheke tu.
 
Khaa!! Zamani nilijua nina gundu. Dem nikimtokea baada ya siku mbili tatu anaanza kuandamwa na matatizo lukuki yanayohitaji fedha. Mara anti wake atalazwa huku akihitaji operation ya mamilion mara mwenye nyumba wake atataka kodi ya miaka3 mara mdogo wake wa chuo attafukuzwa kwa kukosa ada..basi ni pesa tu na kadiri unavyotatua ndivyo mengine yanavyoibuka. Kumbe sikuwajua wabongo bana 😎

Baby mama anatakiwa aende India plz baby I need ur support plz I love u so much ur my everything baby..tuma kwa tigo pesa baby
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom