Wadada wa kazi (house maids) siku hizi ni pasua kichwa

Mi kuna mmoja alikuja, akafika jioni. Asb kaamka anadai nauli arudi kwao eti kisa hana wa kupiga nae story.
Hahahhhaha! Kuna mmoja wife alimtoa Ruvuma hadi Dar alipofika kesho yake akasema amem-miss mwanae anataka kuondoka, akapewa nauli akasepa.

Akitaka kwenda mwache tu asikuletee matatizo.


State agent
 
Ruyama

Mkuu

Soma alama za nyakati!

Nchi inaenda kwenye middle class state, nannies ndio mwisho!

Jibane ununue mashine za kutosha kuendeshe nyumba na kila kitu!

Watoto, wapeleke shule mwenyewe, na mama aache kazi arudi baada ya watoto kua wakubwa!

Watoto wasome shule zenye home care features, ambazo ni ghali kupita maelezo!

Otherwise mzee, tunafeli as a society!
Kweli Mkuu upo sahihi
 
Yaani unagharamika kutuma pesa ya nauli na ya kula njiani anakaa siku nne unapigiwa simu kwamba huyo binti tunamtaka kuna tiba anataka kupewa baada ya siku moja atarudi, akienda harudi ng'oo, yaani tunapoelekea na hawa wadada sijui.

Tafuta kijana akapige mashine kidogo lkn ajue ufundi wa kukata mauno, na romance kibao! za kuchanganya zile, so akienda huyo lazima arudi tuuu!
 
Nenda shule kasome uchumi hela housegirl anayolipwa hapa Tanzania shilling elfu hamsini kwa mwezi ni sawa na 500$ kwa marekani. Kusema hatutaweza kumlipa house girls ni ujinga. Kwa uchumi wa Tanzania shilling 120k ni sawa na 1200$ kwa lugha nyepesi ukimlipa 120k ni sawa na akiwa anafanya kazi USA na kulipwa 2.4M za kitanzania.

Kwa lugha ingine mwajiriwa anayelipwa 1.2m hapa Tanzania ni sawa na mwajiriwa anaelipwa 25m kwa mwezi akiwa anafanya kazi U.K.
Hizi hesabu zako umetumia vigezo gani kupata?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wahindi wanawaweza hawa kwa njia hii huwapa kazi bila kuchekanao au kumbembeleza usijaribu kula nae meza moja ukiwa na family yako au upo pekee yako ukila nae anajiona mtoto wa nyumbani sio mfanyakazi akivunja glass mkate pesa zake hapo sasa atakaa na wewe vizuri.lakini sisi tunajifanya wema sana kwao ndio maana hata baba nyumbani yeye haoni tabu kumpa penzi

Na wewe huko ofisini unatengwa?

...........Yaani chakula aandae yeye halafu wakati wa kula akae kwanza pembeni familia ile!!!? Kwa tabia hizi mtaendelea kulishwa makohozi na mikojo kwenye chakula kila siku.

........Mfanye bint wa kazi kama sehemu ya familia utaishi nae vizuri sana, changamoto ndogondogo zipo sehemu yoyote ile.
 
Na hizi simu hizi ndio zinachangia wasichana kutokudumu. Ila mm akiniambia anataka kuondoka namuuliza lini akisema wiki ijayo , mm namuondoa siku ya pili yake alfajiri halafu napambana na hali yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom