Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Hiyo ni upande wa wanawake ,je sisi wanaume pia tujifanye hatujui kunyonya uchi na kupiga katerero........
 
LUkimuoa demu mjuzi unajitengenezea presha siku utakapogundua kuwa umegongewa na mshikaji yeyote kwasababu utakuwa unakumbuka maufundi yale daaaaa!!!!

Wanaume wengi hatutaki hili lije litukute ndio maana tunapenda wale wajuzi wawe tu michepuko maana huko ukigongewa huwa hakuna presha wala stress!!! Stress zinaua unapogongewa mke mjuzi.
 
Usije ukawapotosha watu, kila mwanaume kuna kitu anapenda na usifikir kuolewa had uwe vizur kwenye bed, kuna vigezo ving ikiwepo tabia, na kwenye bed ata kama hajui atamfundisha ,so unataka kusema MTU usiinjoy penz kisa utaulizwa ulijulia wap haya na umejifunzia wap, wakat kwenye mitandao kuna stail kibao za kujifunza, makabila mengine akivunja ungo anafundishwa namna yakumridhisha mume kwa bed nakumtunza nakujitunza yy, mwanaume mwingine ukiwa slow kwa bed hawez kuvumilia na hatokuambia, mahusiano au kuolewa hakuna formula, formula ni umempata mwanaume yup na anataka nn kwako, na mmepanga nn juu ya mahusiano yenu
Hapo umeongea point.... Kila mwanaume anampenda gal coz ya kitu flan.... Though luv needs no reason """!![emoji56] [emoji56]

Sent from my SM-T531 using JamiiForums mobile app
 
Kama huyo mwanamume anampenda huyo mwanamke atamuoa,mbona machangudoa wanaolewa

Ni Kweli yawezekana changudoa au bamedi akaolewa, lakini tujiulize anapolewa na Mume bora kiasi gani? Pengine anaolewa na mhuni mwenzie tu! Pale cheni ya bandia inapouzwa kwa note yani fedha bandia ! Wengine wanatafuta Mtu wa kumuuguza hali itakapobadilila , Mwenyezi Mungu azidi kutunusuru Na mabaya yote yatuepuke Siku zote! Wengine wanatafuta Mtu yeyote Kwa kumkalia eda! Kwa hiyo siyo kuolewa tu lakini unaoa au kuolewa na Nani ! Maana mwingine ameshajijua status ya afya Yake ikoje ndo anaamua ku take risks hata ya kuona changudoa au bamedi! Samahani Kwa kuyasema hayo sikusudii kuwadharau machangu dos au mabamedi maana nao ni Watu wa Mungu na a awapenda sana Ila anawataka waache hizo tabia!
 
Hayahayaaaaaaaaaaaaaaa


Cc @Smsrt911
Mtoa mada amekosea... Ameshindwa kujua kwamba kila mtu na mtazamo wake... Kuna waonpenda miuno feni, kuna wanaopenda slow jams...


Kujua sana au kutokuja kabisa kwenye sex kwa mwanamke, siyo kigezo cha mwanamke kuolewa au kutokuolewa...

Kila mtu ana taste yake, kila mtu anamitazamo yake... Kila mtu anafuata ile kitu roho inapenda...

Ndoa ni maamuzi, ndoa ni maridhiano, ndoa ni makubaliano, ndoa ni zaidi ya just sex...


# Love you mahondaw wangu #
 
Utundu wako ndio silaha yako

Itategemea unaitumia vipi hiyo silaha yako
 
Kuna mwanamke aliniambia kuwa siku hizi kwenye Kitchen Party wanafundisha kuwa makahaba kwa makahaba kwa waume zao ili mume akichepuka asione jipya na ndoa iendelee kudumu.
 
Kuna mwanamke aliniambia kuwa siku hizi kwenye Kitchen Party wanafundisha kuwa makahaba kwa waume zao ili mume akichepuka asione jipya na ndoa iendelee kudumu.
 
ndugu mtoa mada, kuolewa mbona kunawekewa masharti mengi hivi..kila wiki humu mmu mara thread hii mnasema mwanamke ukitaka uolewe fanya hivi mara fanya vile kwani kuolewa imekuwa kama masharti ya kutoka kwa mganga jamani
Hahahahahha mbavu zangu.. Umeongea kwa hisia sana kama unaonewa vile
 
Back
Top Bottom