Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

Nikweli mchangia mada wa kwanza wadada tunatisha unakuta dada hujaolewa unajiita kungwi wakufundisha na kumuanda bidada ambaye anataka kuolewa tendo la ndoa na mitindo yote wewe hujaowa umeyapataje? Nabusara za ndani ya ndio wanazijua walioingia wakayaona na hasa tuna wanaaminiwa watu wazima waliokula chumvi nyingi wasichana tusirukie fani zingine zinakuharibia kupata ndoa yako hivihivi

Sent from my SM-T211 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa kuowa wapo ila mwanamke unatakiwa uwe na stara ndo utapata wa kukuowa ila kila siku wavuliwa chupi atakutaka nani mbona wenzet wanzazibar kila siku waolewa ni kwasabb wamejistir na ss tujistiri tuolewe jmn akaaa mhh.... Napita t uwanja si wangu
 
Nothing u write . kila mtu na chaguo lake achen kukomplain mahusiano too much . even if we ndo unaejuwa tabia ya kila mwanaume. Ihhh naeza sema n stupdless coz uezi juwa chaguo la mwanaume n lipi? Mspende kujudge sana about relation alafu mjumuishe boy wote . it non sens. Una uhakika ghani ma girl wote kitandani watundu awajaolewa una asilimiya ngap kwa I'lo suala do u prove that issue .

Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Achana kabisa na kingereza mkuu. Andikaga tu kwa kiswahili.
 
Kwa taarifa yenu tu akina dada, ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake ambao hawajatumika sana ktk migegedo. Japo ni ngumu kuwatambua lkn wengi wao wamekuwa wakiwapima kwa utundu wao kwenye 6*6.

Mdada unakutana kwa mara ya kwanza kimapenzi na mwanaume X, mwenye malengo ya kuoa. Lkn unakiachia kitumbua chako wazi kama screen. Unavua nguo zote na kubakia na hakuna halafu upo comfortable kana kwamba mnajuana miaka kumi iliyopita. Huyu hatakuoa maana umemtisha na hiyo over confidence ya kuachia nyuchi kiasi hicho.

Wakati wa romance mara moja unakimbilia kunyonya dushe. Mmh! Hii wanaume wengi wanataka lkn si kwa mke wa kuoa. Huolewi hata na wa Kolomije.

Kujigeuza geuza hovyo na kutangulia kutoa mapendekezo ya style.

Kwa kufanya haya yote unampa huyo mwanaume maswali mengi kichwani. Kwamba umahili huo hujazaliwa nao, bali umajifunza. Sasa umefunzwa na nani? Na kwa muda gani? Anaishia kukuweka kwenye kundi la makahaba.

Jifanye mjinga kiasi, punguza maujanja ili ucheze ngoma kwa beat la kawaida.
loading...

Sent from my TECNO-J7 using JamiiForums mobile app
 
Kwa taarifa yenu tu akina dada, ni kwamba wanaume wengi wanapenda kuoa wanawake ambao hawajatumika sana ktk migegedo. Japo ni ngumu kuwatambua lkn wengi wao wamekuwa wakiwapima kwa utundu wao kwenye 6*6.

Mdada unakutana kwa mara ya kwanza kimapenzi na mwanaume X, mwenye malengo ya kuoa. Lkn unakiachia kitumbua chako wazi kama screen. Unavua nguo zote na kubakia na hakuna halafu upo comfortable kana kwamba mnajuana miaka kumi iliyopita. Huyu hatakuoa maana umemtisha na hiyo over confidence ya kuachia nyuchi kiasi hicho.

Wakati wa romance mara moja unakimbilia kunyonya dushe. Mmh! Hii wanaume wengi wanataka lkn si kwa mke wa kuoa. Huolewi hata na wa Kolomije.

Kujigeuza geuza hovyo na kutangulia kutoa mapendekezo ya style.

Kwa kufanya haya yote unampa huyo mwanaume maswali mengi kichwani. Kwamba umahili huo hujazaliwa nao, bali umajifunza. Sasa umefunzwa na nani? Na kwa muda gani? Anaishia kukuweka kwenye kundi la makahaba.

Jifanye mjinga kiasi, punguza maujanja ili ucheze ngoma kwa beat la kawaida.
kwa hili niwatete dada zetu. waspojituma tunawaita watumishi hewa. waki-overdo, reeard ndo kama hivi. [emoji2] [emoji2] [emoji2]

anyway polen kinadada ndo shukran zetu kinababa!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] napita zangu mie cjui chchote
Nyooooo. Tena wewe kwa kukata viuno ni zaidi ya Feni yani kama umesomea unyagoni. Na km hujirekebishi hutoolewa ng'ooooooo!!!
 
Aisee unaandika vibaya,na kiingereza chako cha uongo uongo,huwezi kuolewa wewe [emoji23]
Bora umempasha, maana hajui kiswahili wala kingereza. Halafu ni jeuri huyu. Hafai hata kwa mgegedo.
 
Back
Top Bottom