Nakuona unamwita wifi yako...haya Niitie aje nimwambie jinsi navyompendamm ndio
hahahhh Lydia's wedding huyo kiboko mpk duka alishachagua
wanaume tunaakiri kubwa sana hivyo unapokuwa unatongozwa kuna majibu ambayo moja kwa moja humpelekea mwanaume kujua kuwa huyu ni wakupita tu ama huyu wakudumu nae kwahiyo jitaidini kuwa na majibu ya kumshawishi mwanaume akuone pengine wewe ndie wakati anakutongoza kama kweli umevutiwa nae siku moja akuoesi ungemuoa yule wa mwanzo unaona sasa laana yake
huyo atakayemvuruga hatakuwa hana akili. Ni ukweli mtu akishafanikiwa ndo mke wake atajua kama anampenda mana ataanza kuwaona wazuri na wengi watajigonga kwako ila anatakiwa ajue kuwa hela ndo zimependwa sio yeye mana bila ya hela haumpati.Na nyie wanaowapenda mkiwa kwenye mawe huwa mnawavuruga mkifanikiwa.
kifupi mapenzi ni bahati ukimpata mwenzako nayeye akawa ndo wa kwako jameni mambo ni muruaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaNi kweli kabisa.
Tena ni raha isokifani.kifupi mapenzi ni bahati ukimpata mwenzako nayeye akawa ndo wa kwako jameni mambo ni muruaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Daby inapaswa muwafahamu wanawake, iko hiviii, mara nyingi mwanamke anapoanzisha mahusiano basi amependa, na kama kapenda basi ujue akili yake hapo inawaza ndoa tu.Mpe pole shoga ako aseeh.
Ila naona kama mnatutafsiri vibaya. Kwani kuwa na kazi nzuri na kila kitu ndiyo guarantee ya kuoa?
Mwisho kwa waliopo katika uchumba wajue Sio kila mahusiano yanaishia kwenye KUOANA.
Asanteni kama kuna swali niulizwe haraka.
Na ukishaiita ndoano basi haina maana tena.Ukiingia kichwa kichwa kama Samaki kwenye ndoano kweli itakuwa ndoano.
Na ukishaiita ndoano basi haina maana tena.
Duuh haya shemeji.Daby inapaswa muwafahamu wanawake, iko hiviii, mara nyingi mwanamke anapoanzisha mahusiano basi amependa, na kama kapenda basi ujue akili yake hapo inawaza ndoa tu.
Hujawahi ona mtu anatembea na mume wa mtu alafu akitamkiwa kuachana anakuwa mkali ilihali anajua kabisaaa pale hamna ndoa? Seuse kapera tu!!
Mtu ambae yuko nawe ila walaaa hafikirii utajakuwa mumewe ujue hakupendi, kwahiyo hili unaloliongea ni gumu kidogo.
yaani weeeeeeeee acha tu, ukiwa unamuwazaaa ukae naye mahali tulivu mpige stori nayeye anayawaza hayo, kukaa naww pembeni yako bila hata ya kufanya kitu mtu unafurahii tu. acheniii mapenzi Mungu aliyaumba na shetani anaharibu kuwa ni pesa ndo upendo. enzi za adamu na hawa hakukuwa na pesa ila walipendana jamani.Tena ni raha isokifani.
Shem we unaogopa ban?
Ila kumbuka Adamu alikuwa na kila kitu ndio akaumbiwa Hawa.yaani weeeeeeeee acha tu, ukiwa unamuwazaaa ukae naye mahali tulivu mpige stori nayeye anayawaza hayo, kukaa naww pembeni yako bila hata ya kufanya kitu mtu unafurahii tu. acheniii mapenzi Mungu aliyaumba na shetani anaharibu kuwa ni pesa ndo upendo. enzi za adamu na hawa hakukuwa na pesa ila walipendana jamani.
nawewe hujalala bado tuu mkuu.Ila kumbuka Adamu alikuwa na kila kitu ndio akaumbiwa Hawa.
Pesa sio mapenzi bali ni chachu ya mapenzi. Kwahiyo inabidi tukubaliane na hali halisi, hatupo wakati wa Adam na Hawa ambapo hakukuwa na pesa.
Ndio muda wangu wa kuamka huo mkuu.nawewe hujalala bado tuu mkuu.
Na ukipata mimba si ticket ya ndoa .. muhimu fanya yanayokuhusu basi
Acha kunichekea kama hautajibu swali langu?Hahahahhha