Wadada tusilazimishe ndoa

Wadada tusilazimishe ndoa

wanaume tunaakiri kubwa sana hivyo unapokuwa unatongozwa kuna majibu ambayo moja kwa moja humpelekea mwanaume kujua kuwa huyu ni wakupita tu ama huyu wakudumu nae kwahiyo jitaidini kuwa na majibu ya kumshawishi mwanaume akuone pengine wewe ndie wakati anakutongoza kama kweli umevutiwa nae siku moja akuoe
kweli kabisa mkuu kauli ni kila kitu
 
Mpe pole shoga ako aseeh.

Ila naona kama mnatutafsiri vibaya. Kwani kuwa na kazi nzuri na kila kitu ndiyo guarantee ya kuoa?


Mwisho kwa waliopo katika uchumba wajue Sio kila mahusiano yanaishia kwenye KUOANA.

Asanteni kama kuna swali niulizwe haraka.
Sawa mjukuu wangu..... Ila uoe me nataka vitukuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom