uchague moja acha utani mkuuC kasema nijibu ndio au hapana?
uchague moja acha utani mkuu
hahaha et itatrend sana
yaan ww
hahahahahahahh weweeeeee, usikwepe maswali muda ndo huuMimi ni sawa na wale wabunge wanaobamiza meza pasipo kujua kilichoongelewa...
shunie acha kunibagua jaman nipe majibuHa ha ha ha nimeshamjibu piemu mwambie akwambie
shunie acha kunibagua jaman nipe majibu
nitamfata PM usijali niachie huyu namweza mwenyewe japo anaonekana kukanaShunie kapewa jibu ila hapa hatak kukushirkisha na wewe
nitamfata PM usijali niachie huyu namweza mwenyewe japo anaonekana kukana
hivi unamwamini Bonny kuwa kanipa jibu
haujanipa jibu mm we jibu hapa tatizo nn au subili thread yako soon inakujaShunie ndio maana nlisemq tutaharbu mada u see nmetoa jibu hutak kuwapa watu jibu kwel
Ha ha ha wala huna haja ya kuja piemu ni shunie kukuweka sawa swal why shunie akufiche kitu kama hcho why why shunie ana nn na wewe lakin?
Hiv nmeshawah kukudanganya au kusema uongo au kumsingzia mtu swal ni kwann shunie hatak kukwambia
Ataniambia pm ucjalHa ha ha wala huna haja ya kuja piemu ni shunie kukuweka sawa swal why shunie akufiche kitu kama hcho why why shunie ana nn na wewe lakin?