Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,611
1 usiwe mwepesi kuvua nguo hii itakusaidia naturally kujua ni mtu mwenye nia ya dhati au ni wa kusepa(at least six month)
2. kuwa romantic-upendeze kiukweli ili kujua mihemko yake ni % ngapi na level yake ya resistancetowards mihemko
3. kuwa naturaly kama unakunywa kunywa kama ni mtu wa kununa kaa hvo hvo
4 kuwa na haiba yakike-usivute sigara bangi ,usiwe mlafi,wala kutoa matusi mbele yake hata kama weweni wa hvo
5 usimpige mizinga wala usimpe story za familia yako hata kama yeye ata fanya hvo iwe ni baada at leastwk 3 kama atakuwa hajasepa
4 usimwambie idadi kamili ya wapezi wako unaeza kumwambie yeye ni no 2 hata kama wapo mia hamna mita ya kupima so hawezi jua imetumia unit ngapi
5 usimueleze ukweli kuhusu kipato chako especially kama ni kizuri wanaume wengine wapo after money
6 kuwa mtu wa mawasiliano especially siku za mwanzo hata usiku wa manane kama ni muongo usiku hatopokea simu piga chini siku iyo iyo
7 usimtambulishe kwa mtuyeyote yeye akikutambulisha potezea hii itakufanya uwe na heshima pale pale hata kama akisepa
8 angalia maneno yake kuhusu miaka yenu ya mbele unaweza kumwambia mfano nataka kusoma ,nataka kujenga cheki mawazo yake kilaza utamjua tu the way atakavokushauri
9 imani church,mosque attendance kama si mtu wa dini jua tu mahusiano yenu hayatakuwa mazuri so jpili ukion mtu anaipotezea jua tu haupo sehemu sahihi kimbia
10 muueleze matatizoyako kwa akili kumbuka no 5 sio kumpiga mizinga then cheki reaction yake
11 cheki movement za simu yake kimya kimya je ukiishika tu anareact? Anaipokea kwa amani akipigiwa?
12 mtembelee home kwakeila unaweza kubakwa sometimes nenda hata siku upo period kuepusha majanga. kumbuka no moja
13 mwambie muende angaza kwanza mkapime hiv
nitaendelea kesho
2. kuwa romantic-upendeze kiukweli ili kujua mihemko yake ni % ngapi na level yake ya resistancetowards mihemko
3. kuwa naturaly kama unakunywa kunywa kama ni mtu wa kununa kaa hvo hvo
4 kuwa na haiba yakike-usivute sigara bangi ,usiwe mlafi,wala kutoa matusi mbele yake hata kama weweni wa hvo
5 usimpige mizinga wala usimpe story za familia yako hata kama yeye ata fanya hvo iwe ni baada at leastwk 3 kama atakuwa hajasepa
4 usimwambie idadi kamili ya wapezi wako unaeza kumwambie yeye ni no 2 hata kama wapo mia hamna mita ya kupima so hawezi jua imetumia unit ngapi
5 usimueleze ukweli kuhusu kipato chako especially kama ni kizuri wanaume wengine wapo after money
6 kuwa mtu wa mawasiliano especially siku za mwanzo hata usiku wa manane kama ni muongo usiku hatopokea simu piga chini siku iyo iyo
7 usimtambulishe kwa mtuyeyote yeye akikutambulisha potezea hii itakufanya uwe na heshima pale pale hata kama akisepa
8 angalia maneno yake kuhusu miaka yenu ya mbele unaweza kumwambia mfano nataka kusoma ,nataka kujenga cheki mawazo yake kilaza utamjua tu the way atakavokushauri
9 imani church,mosque attendance kama si mtu wa dini jua tu mahusiano yenu hayatakuwa mazuri so jpili ukion mtu anaipotezea jua tu haupo sehemu sahihi kimbia
10 muueleze matatizoyako kwa akili kumbuka no 5 sio kumpiga mizinga then cheki reaction yake
11 cheki movement za simu yake kimya kimya je ukiishika tu anareact? Anaipokea kwa amani akipigiwa?
12 mtembelee home kwakeila unaweza kubakwa sometimes nenda hata siku upo period kuepusha majanga. kumbuka no moja
13 mwambie muende angaza kwanza mkapime hiv
nitaendelea kesho