Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Kaizer kumbe na wewe umo........Kids wako wakicheki hayo maneno hoooi
Kiongozi kwani mlishaniwrite off ama niahe arif? khaaa!
Kaizer kumbe na wewe umo........Kids wako wakicheki hayo maneno hoooi
Dah,kweli tuna tofautiana.
Sipendi mabonge mimi,vimodo ni balaa.
Bonge ni tabu tupu,hata haujui kama lina sisimka aisee.
Mheshimiwa spika,
mie hata akiwa na sura nzuri kiasi gani, akiwa mwembamba tu basi kwangu tutabaki marafiki wa kudumu, no love. Hata akiwa na sura mbaya kiasi gani, akiwa mnene tu basi tutagombana hadi dakika ya mwisho
Tabia mbaya hiyo! Kama huna habari hata huyo unayemmega sometimes hufumba macho akikiwaza kidume kingine, wewe kwa ujuha wako utadhani anafumba macho kwa kuwa kanogewa.Ulishaawahi kummega mwanamke, ukafumba macho, ukimuwaza mwingine? Ilinikuta aloo noma
Mnene kama hawa shangazi zangu?? Ukiwa mind usilete longo longo wala kugombana unakotishia, njoo nyumbani leta posa uje nyumbani Kibondo!!! Mshenga atakutana na wenyeji wake pale kona ya Nyakanazi, Ushirombo!!! Kazi ni kwako!!!
View attachment 65808
View attachment 65809
Mimi akiwa na sauti ya kukwaruza tu kama ya halima mdee, hata benzi nitahonga. Haijalishi ni flat screen,nokia tochi au gombe stream, mimi sauti tu jaman nafwaaaaaaa
hahahaaaaa! songwe river je!
Tabia mbaya hiyo! Kama huna habari hata huyo unayemmega sometimes hufumba macho akikiwaza kidume kingine, wewe kwa ujuha wako utadhani anafumba macho kwa kuwa kanogewa.
Mnene kama hawa shangazi zangu?? Ukiwa mind usilete longo longo wala kugombana unakotishia, njoo nyumbani leta posa uje nyumbani Kibondo!!! Mshenga atakutana na wenyeji wake pale kona ya Nyakanazi, Ushirombo!!! Kazi ni kwako!!!
View attachment 65808
View attachment 65809
Yaani mama mdogo haya ndio madude yangu hapa udenda unanitoka aisee, vimodo nivipeleke wapi mie sitaki shombo wala kesi ya mauaji. nikutafutie wapi mama mdogo aisee
poabo kwangu ni sumu,ushepu ndo mpango mzima,na madada wanene nao sio mpango mijasho dkk mbili tu....
mnaboa.....