Don Mangi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,198
- 852
Ulishaawahi kummega mwanamke, ukafumba macho, ukimuwaza mwingine? Ilinikuta aloo noma
Tunaita housing blackberry screen saver mchina.
Ulishaawahi kummega mwanamke, ukafumba macho, ukimuwaza mwingine? Ilinikuta aloo noma
Mi zote nakubaliana ila EXCEPTION inawakuta wenye sura mbaya Iila POCHI LILITUNA MADOLARI. Ukiwa na KISU kirefu bana hakuna atakaewaza hilo sura lako. Pesa sabuni ya roho! NAKUONA BONGE LA HANDSOME
nyie wanaume mbona hamueleweki..wengi si mnawazia K tu sasa hiyo sura inakujaje tena mnahusudu na yale ma-wo wo wo yakiruka singida dodoma singida dodoma??
Mheshimiwa spika,
mie hata akiwa na sura nzuri kiasi gani, akiwa mwembamba tu basi kwangu tutabaki marafiki wa kudumu, no love. Hata akiwa na sura mbaya kiasi gani, akiwa mnene tu basi tutagombana hadi dakika ya mwisho
Muongozo mh speaker!!! Kongosho kama sijamuelewa vile!! Kuhusu utaratibu inakuwaje member wanaleta muzaa kwenye sredi?? Taarifaaaaa.............
«»«»«»«»«»«»«»«»«»«»«»«»«»«»
Mwanamke hata kama hana sura ya kuvutia sana hila akiwa na shepu flani hiv basi shepu inambeba na kuonekana na mvuto!! Vita ni vita muraaaa MVUTO KWANZA(By Martin Kadinda)
mie nikisoma comments za wanaume wengi humu huwa naimagine hao wanawake zao watakuwa wazuri kama malaika.
nyie wanaume mbona hamueleweki..wengi si mnawazia K tu sasa hiyo sura inakujaje tena mnahusudu na yale ma-wo wo wo yakiruka singida dodoma singida dodoma??
Ha ha,inaweza saidia isiibiwe wakidhani ni ya mchina kumbe original.
Nimepata point yako
hivi si anaweza kuwa na sura nzuri shepu ikagomba?
Labda watoto wa kimanga ndo unakuta sura nzuri but takoless and hipsless, sio utamaduni wa kibantu asee.but exeption to the rules wapo.
yeah nilikuwa narefer kitu kama icho na nimewaona...sema wanakuwaga na maneno mengiiiiiii kama mchiriku. Ila kama ndo ivo mtu wa kucheki figure nk hakupi mzuka kabisa lol