Wadada na waume za watu

hahahaaa mimi manka eti nitamjaza si anapenda kujazwa hatosheki chupa itamtoshea kabla ya hapo namvua nguo zote hadharani si mtuhumiwa bwana kwanini wizi wa waume za watu?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Eeeeh manka unatokea machame nn
Maana dhuuu!!! Hata kumuuwa
Mwiz n dk 5 ww

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Eeeeh manka unatokea machame nn
Maana dhuuu!!! Hata kumuuwa
Mwiz n dk 5 ww

Triple A
Siui bwana ila namtia adabu
 
Mkuu vipi ushafanikiwa? REF; Natafuta mchumba atakayekuwa mke
 
Wanapeleka tuu kaswende kwenye nyumba za watu maana mbeba waume za watu hanaga mme mmoja
atakuwaje na mmoja wakati yeye ni kama pipi iliyovuliwa ganda??? kila nzi apitaye anataka kutua apate utamu aende zake!!!!! Tujipende jamani jua thamani ya kila kiungo chako, usidandanywe na starehe ya mda mfupi
 
Mm sina Mke !! Natafuta Mke wa kumuoa!! Aje Dp

Sent using Jamii Forums mobile app
 
atakuwaje na mmoja wakati yeye ni kama pipi iliyovuliwa ganda??? kila nzi apitaye anataka kutua apate utamu aende zake!!!!! Tujipende jamani jua thamani ya kila kiungo chako, usidandanywe na starehe ya mda mfupi
Duu mkuu wewe ndio umevurugwa wanajuaga wanapendwa kama kakupenda sana kwanini asimwache mkewe akuoe wewe? Inamaanisha mkewe ni the best katika wanawake wote aliowahi kuwaona upendo na heshima zake zote kampa kwako wewe ni punguza muwasho
 
Siui bwana ila namtia adabu
Eeeeh yenywe lazma shikishwe
Adabu aspende sana mteremko
Wakitonga hajui wenzie mnakipanda
Kwa shida mpaka mnamaliza
Mnarlax

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Mjini hapohapo
Ooh! Nmepga sana misele
Hapo aisee kitambo hicho


Had now nkiwa home tarakea
Lazma nikujege kutalii
Kamji katam sana hako

Karbu sana mamtukuna

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Ooh! Nmepga sana misele
Hapo aisee kitambo hicho


Had now nkiwa home tarakea
Lazma nikujege kutalii
Kamji katam sana hako

Karbu sana mamtukuna

Triple A
Aika
 
 


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuh!!!!!!!!!!!!!!!! Ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu... Kwa hiyo sasa hivi amebadili jinsia na kuwa K.... Mayoooooo hili jukwaa halitufai sisi wazee....
Yani hapo huwezi kujua kitu kaa kimya mkuu kumbukumbu ninayo ndefu sana hlf trans gender huijui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…